Ukwaju
JF-Expert Member
- Oct 19, 2010
- 13,370
- 11,089
Du Mzee Mwanakijiji nimefuatilia Gereza la Isanga ambako huyu mama alipitia hapo, hawafahamu alipo huenda aliachiliwa tayari.
Na mm nauliza kwa sasa yupo wapi? ya Asha Mkwizu na yenyewe kali tupeni full Story
Na huyu KUPAZA aliyemuua dada yake MWIVAHO KUPAZA kwa kumbaka hadi mimba walipojaribu kuitoa akafariki na akamchinja na kumchuna halafu akamtupa katika mto huko USA.
Je, watu wa Tanga wana habari gani za huyu mtuhumiwa aliyesomea Seminary Morogoro na kuoa mzungu.
Nimeyakumbuka magazeti yetu ya zamani Mfanyakazi la kila Jumamosi lililomponza marehemu Katabalo je? leo kuna waandishi wa namna yake? au kabaki Kubenea tu
Na mm nauliza kwa sasa yupo wapi? ya Asha Mkwizu na yenyewe kali tupeni full Story
Na huyu KUPAZA aliyemuua dada yake MWIVAHO KUPAZA kwa kumbaka hadi mimba walipojaribu kuitoa akafariki na akamchinja na kumchuna halafu akamtupa katika mto huko USA.
Je, watu wa Tanga wana habari gani za huyu mtuhumiwa aliyesomea Seminary Morogoro na kuoa mzungu.
Nimeyakumbuka magazeti yetu ya zamani Mfanyakazi la kila Jumamosi lililomponza marehemu Katabalo je? leo kuna waandishi wa namna yake? au kabaki Kubenea tu