ndio maisha na sisi tunaelekea huko huko! Cha msingi ni kuzidi kumwombea, pamoja na Mzee Jumbe ambaye hali yake si nzuri kwa muda mrefu sasa pale kigamboni.
Mmmmh, unajua wakati mwingine huwa nikikaa na kufikiria khsiana na maneno hayo Geka huwa naona kabisa kuwa huenda yakawa na ukweli ndani yake! By the way, hopefully God will forgive him freely for sure!
Duh kk shida huwa tunasahau tofauti zetu, lakini huwanajiuliza huo0 ukomandoo ulitokana
na nini haswaah sijawahi kufaham chanzo chaukomandoo wake nijuze AZOTE
Duh kk shida huwa tunasahau tofauti zetu, lakini huwanajiuliza huo0 ukomandoo ulitokana
na nini haswaah sijawahi kufaham chanzo chaukomandoo wake nijuze AZOTE
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.