kabeba mengi. Cameron, sasa steve wonder...
don't tell me!?!?*@?inamaana nae anapigwa bomba kama marehemu mzee kawawa au?
Yule mmachame siku nyingi kwisa ondoka baada ya mzee kustaafu akaona U 1st lady umekwisha ngoja ajiondokee zake ,radio mbao zinasema alikuwa na hekalu Mikocheni ndiko anakoishi hata yule kaka yake brazameni wa pale Bungoni Ilala nae kapotea baada ya ushemeji kuota mbawadah kabla hujafa hujaumbika yule mke wake wa zamani atakuwa anahusika
Kuna kaka yake mmoja brazameni wa ukweli alikuwa anaitwa Muddy alikuwa anaishi mitaa ya Bungoni Ilala naye haonekani siku hizi,enzi zile shemeji yupo madarakani jamaa alitikisa sana pande ya jiji la maraha D'salaama siku hizi kimyaaa sijui kunaniUNAMMAANISHA SALMA?? HUYU MAMA NAYE KWAO WANAKUFA NDUGU ZAKE KARIBU WOTE WAMEKUFA SIJUI NI NINI? HAPA KWAO PAMEBAK HOUSEGIRL TU , PAMECHAKAA HUWEZI AMINI KM NI NYUMBANI KWA MKE WA RAIS, ngoja niache umbea
Mimi nafikiri wakati ule raisi alikuwa Mohamed Raza,pamoja na kuwa mshauri wa michezo yeye ndie alikuwa kila kitu,kulipa mishahara ,aliwahi muhamisha askari mmoja pale bandarini baada ya kuambiwa yakhe panga foleni wakati yeye ni'raisi'Salma Salmini alikuwa na mahusiano ya kimapenzi na mtu anaehusishwa na Muamar Gadaffi, kama si yeye mwenyewe ni mwanawe, na alianzia tangu wakiwa madarakani manake Kamandoo alikuwa rafiki wa Gadaffi au japo alikuwa anajipendekeza sana kwake.
Labda dhambi ya kuua bandari ya Zanzibar nayo inamwaadhibu, mnakumbuka enzi zile watu wanafurika toka Tanganyika kuja kukomba vitu bei chee Zanzibar? hiyo iliisha mwanzoni mwa miaka 2000 Salmini alipotaka Bandari Huru ya Zanzibar (out ya bandari za Tanzania) kwa hiyo bandari ya zanzibar peke ya haina uwezo wa kujiendesha au kuleta meli kubwa peke yake moja kwa moja.
katili kwa nani?
Nje ya mada ya Salmin. Huyu mzee Jumbe alikuwa rais wa Zanzibar, hata umakamu wa rais wa muungano ulitokana na urais wake wa Zanzibar. Serikali inayowajibika kumhudumia ni ipi kati ya SMZ na serikali ya Muungano? Kwa nini hataki kurudi kwao visiwani?Huyu Mzee wana hana hali... kinachoskikitisha zaidi ni kuwa serikali haitaki kumsamehe na kumsaidia. Ameanza kuugua miaka mingi sana na yuko pale kigamboni kama mwana mpweke, yaani familia yake imeachwa imhudumie yenyewe kana kwamba hakuwa kiongozi wa kitaifa. na hali ya afya yake ni mbaya sana
Ana dalili zote za kuathiriwa na kiharusi.Mkutano Mkuu wa CCM wa kuteua mgombea urais Zanzibar Mwakajana alifika Dodoma akiongozana na huyu Waziri wa mambo ya Ndani Vuai, mwonekanao na tembea yake akitegemezwa na watu kadhaa kumzunguka ilikuwa inaonyesha kila dalili ya kupungukiwa na nguvu katika moja ya milango mitano ya fahamu ingawa wakati huo alikuwa ametoka matibabuni nchi za nje yaliyoratibiwa na Shamsha Vuai akiwa kama Waziri Kiongozi wa Zenj.
Inamaana nae anapigwa bomba kama marehemu mzee kawawa au?
malipo duniani akhera huenda hesabu tu,huyu salmin komandoo feki alitesa sana watu na alidhalilisha sana watu wote waliokua na muelekeo wakutaka mabadiliko ya kidemokrasia,mpaka leo huko zenj watu wanamlaani nakumuombea mabaya zaidi,wakati wautawala wake watu waliuliwa,walibakwa,na walifanyiwa ukatili wa kila aina,alivunja majumba ya watu eneo la mtoni unguja kwa chuki za kisiasa tu,kwahakika mungu hulipa duniani,kama huamini kama huyu salmin alikuwa katili muulize juma duni haji waziri wa sasa wa afya zenj ambae ni mjobawake na salmin aliteswa nakuwekwa ndani miaka3 kwa sababu za kipuuzi za kisiasa.
Salmini alidanganywa na madaraka kiasi cha kuwa rais wa pili kuua watu wasio na hatia baada ya Abeid Karume ukiachia mbali kuona mpalestina toka Machame asijue moto mtupu. Ingawa Salimuni Amri ni wa kuonea huruma, twapaswa kujifunza kuwa wanyenyekevu. Maana avumaye bahari papa na isitoshe binadamu ni nini hadi ajione wa maana wakati ni mavumbi matupu? Mie ni mwanafalsafa tu.
Hii ni mojawapo ya njia za kuwajua wakwale!Jamani wapendwa
nimemwona mh wetu rais wa zamani wa zanzibar mh salmini amour
akiwa anaongozwa na kifimbo hakika nikahuzunika sana sana
nilipouliza jamani kuna nini ndipo nikajuzwa maskini haoni amekuwa hivyo muda kidogo
mwisho namtakia heri hata akishindwa kuona vingine basi vya kitandani aone
kila lal kheri baba
nasikia hata mataka wa ppf enzi hizo alishataka kula mzigo baada ya kugundua kuwa komando ni mcameroon