Hii ndiyo itakayo ifunga JF angalieni na sikilizieni kwa makini
Hawa ni MajiraRAIS Jakaya Kikwete akipokea mfano wa hundi yenye thamani ya Dola za Marekani 300,000 sawa na zaidi ya Shilingi za Tanzania Milioni 400 kutoka kwa Mkurugenzi Mkazi wa Benki ya Dunia (WB) kwa nchi ya Tanzania na Uganda Bw, John McIntire Dar es Salaam jana. (Picha na Rajabu Mhamila)
Kipande hiki toka IppmediaPresident Jakaya Kikwete receives cheque for USD 200,000 from the Leader of CEO Roundtable, Ali Mufuruki during the launch of CEO Scholarship fund in Dar es Salaam yesterday. (Photo: Tryphone Mweji)
Wanasubiri kukatiwa chao... mwendo mdundo kama wasemavyo... na ndiyo maana tunaona madudu kama haya katika kila kona ya maisha ya Watanzania!Jamani msiniue kwa kicheko, yaani nimecheka leo na machozi yanatoka. Bahati niko peke yangu ofisini maana kuna mtu angeniona angefikiri nimechanganyikiwa.
Yaani mungu wangu matatizo ya kukimbilia kila opportunity ya kupigwa picha.
JK una kazi baba mwaka huu, hao watu wote unaoongozana nao, wanafanya nini?
JF babu kubwa!!!
unajua mwanakijiji wengi wanaamini unayosema hapa JF, sasa unaposema picha imeonyesha uongo maana yake nini ? au ndio wikiendi tena !
wikiend inaanza jumanne?kaaazi kweli kweli, ebo au kuna kitu hapa nimekimiss?!!
unajua mwanakijiji wengi wanaamini unayosema hapa JF, sasa unaposema picha imeonyesha uongo maana yake nini ? au ndio wikiendi tena !
The message is self explanatory! Nothing more nothing less! Kuna mwenye kujua nini namaanisha? Kazi ipo... Ni kutoka gazeti la Majira la leo Oktoba 9, 2007
Ndio,maana 80% iliona huyu ndio bora kuliko wote!ni aibu kwa JK lakini ni aibu kwa watanzania wote, kuongozwa na mtu wa namna hii!
mnafikiri mtu wa nje akiona hii atamsema JK tu?.....tumevuliwa nguo watanzania wote kwa hili, naona hata haya kuitizama mara mbili hii picha! UOZO KWENDA MBELE
Bubu Msemaovyo uko sahihi kabisa.Hata hivyo hiyo picha yako hapo pembeni walao imenipunguzia hasira nilizonazo kwa watawala.Inawezekana hawa CEOs walipanga ili kuihakikishia IKULU kwamba hata mikataba wanayoisaini huwa na michezo kama hiyo wakajadili kwamba ili kuwapa somo hawa IKULU tufanye hivi ili watambue kuwa wanavyodhani wanajua CEOs wanajua zaidi.