Idimi
JF-Expert Member
- Mar 18, 2007
- 14,963
- 10,457
Inasikitisha sana kwa sie tukie mpenda ila bwana amempenda zaidi
naamini atamfungulia njia nyingine;prof tunakupa hongera kwa uliyofanya hii ni kazi kila mtu anapita
open with sadness
Mkuu unatutisha bwanaaaaaaaaa!
Mie nilifikiri kafariki?
Hayo mbona mambo ya kawaida sana katika utumishi wa umma? Huenda tenure yake imekwisha na hajataka kuongeza nyingine, ama serikali haijataka kumuongezea nyingine, so anatafuta ustaarabu mwingine.
Heading inatisha mkuu, ila asante kwa info.