He nilifikiri kaenda pumzika au nae ameamua kugombea ubunge
Wewe Mhalisia unapotosha watu kwa heading yako bana .Chunga unaweza kukatisha roho za watu pasina sababu.BE CAREFUL ON WORDING!!!!!!
Inasikitisha sana kwa sie tukie mpenda ila bwana amempenda zaidi
naamini atamfungulia njia nyingine;prof tunakupa hongera kwa uliyofanya hii ni kazi kila mtu anapita
open with sadness
Inasikitisha sana kwa sie tukie mpenda ila bwana amempenda zaidi
naamini atamfungulia njia nyingine;prof tunakupa hongera kwa uliyofanya hii ni kazi kila mtu anapita
open with sadness
Hayo maneno yamenitisha kweli]Inasikitisha sana kwa sie tukie mpenda ila bwana amempenda zaidi[/B]
naamini atamfungulia njia nyingine;prof tunakupa hongera kwa uliyofanya hii ni kazi kila mtu anapita
open with sadness
nadhani ulikuwa ukimaanisha tukujue ukoje kifikra, ndo maana ukaweka avatar hiyo....haiwezekani ukaweka post hiyo as if prof. Mbwete kafariki! Umenichefua vibaya! Kumbuka huyu prof katengeneza maisha ya watu kibao...umetuletea usumbufu na bora utuombe radhi kama ni muungwana.