Kituku
JF-Expert Member
- Nov 18, 2010
- 238
- 24
Jamani, poleni na shughuli za hapa na pale
Me naomba kuuliza, hivi huyu mustafa Hassan ally mwanamitindo, huu wembamba alionao ni diet au kuna kitu kingine kimefanyika?
Maana miaka ya nyuma kidogo nilivyomuona na sasa inanipa wasiwasi mie mwenzenu... Wembamba huu ambao kila siku naona kama unaongezeka nini? , Maana kama ni diet, hata mie ningetaka wakati nikija kuwa mnene.
Me naomba kuuliza, hivi huyu mustafa Hassan ally mwanamitindo, huu wembamba alionao ni diet au kuna kitu kingine kimefanyika?
Maana miaka ya nyuma kidogo nilivyomuona na sasa inanipa wasiwasi mie mwenzenu... Wembamba huu ambao kila siku naona kama unaongezeka nini? , Maana kama ni diet, hata mie ningetaka wakati nikija kuwa mnene.