Maskini JK namuonea huruma!

hajui kwa nini nchi ni maskini, na hawajui wala hajawahi kuwaona wamiliki wa Richmond nk. eeeh!!!
 
Ah! Hiyo ilitokea kwa awamu ya RAIS yupi, if I may ASK?

Wakati wa mzee wa Ruksa, mjanja hujifunza kwa makosa ya wengine na siyo makosa yake mwenyewe, tukisubiri mpaka muda wake uishe huenda hata hivi tulivyonavyo ambavyo vimechoka vitakufa kabisa. Aachie sasa kwa maslahi ya Taifa na watanzania kwa ujumla.
 
huenda wakati huo ikawa too late, ni bora akaachia sasa hivi, unakumbuka THB au RTC? ilikuwa hivyo hivyo mpaka maduka yote yakafa.
Kwa jina la Raisi Kikwete ni Mbovu kama Benki ya THB
au Mbovu kama Duka la RTC na kweli linamfaa
 
Aliulizwa kwa nini nchi ya Tanzania masikini akajibu hata yeye hajui!!!!!!!!!!!!! Mkuu wa kaya huyo!!!!!!

Ni kweli hayo mkuu? aliyasema hayo? Nafikiri anajua ukweli ila ukweli wenyewe ni aibu na dhaifu, it is unspeakable!!
 
Wakati wa mzee wa Ruksa, mjanja hujifunza kwa makosa ya wengine na siyo makosa yake mwenyewe, tukisubiri mpaka muda wake uishe huenda hata hivi tulivyonavyo ambavyo vimechoka vitakufa kabisa. Aachie sasa kwa maslahi ya Taifa na watanzania kwa ujumla.

Brilliant indeed!!! Swali? Mzee Ruksa kaongoza kwa kipindi cha miaka kumi -right? Kaja BEN naye kaogoza kwa miaka kumi-eh? - Oh just a second, tusisahau awamu ya Kambarage ambayo kwa kipindi cha takribani miaka kumi na tano kabla ya kung'atuka kwake, tukiwa wakweli atuwezi kusema kwamba kipindi cha mwisho cha Kambarage TANZANIA was a bed of ROSES, tulikuwa na wakati mgumu sana kiuchumi.

Hebu tujaribu ku-analyse awamu zote tatu bila kuwa biased/jazba, kwa hesabu za chapu chapu inaonekana TAIFA letu limekua kwenye Economic TURMOIL na Mismanagement kwa kipindi cha miaka 35 (thelathini na TANO) repeat 35 kabla ya Jakaya hajashika usukani, hilo watu awalioni/kumbuka. Hivi tunamtendea haki kutegemea kwamba Jakaya anaweza kweli kusafisha madudu walio hacha wenzake within a record TIME ya miaka SITA!!!! hata Marshal plan haikuwahi ku-achieve such a feat at such a megaspeed.

Come on folks, tuwe wakweli bila ya kusutwa na dhamila ZETU - haya mambo ya kumlaumu wholesale na kumuita majina ya kila sampuli hayawezi kulisaidia TAIFA letu, raia wenye nia njema na TAIFA lao wangekuwa wanampa ushauri however crude bila kumuogopa au kuwa na hila za aina fulani kwa kumlahumu karibu kila kitu as if yeye alihusika moja kwa moja na matatizo ya TAIFA letu - wakati mambo yenyewe yalikuwa yamekwisha ota mizizi kwa kipindi cha muda mrefu TU (miaka 35) - WHY PICK ON HIM, if I may ask? Nauliza hili swali kwa kwa nia nzuri TU.
 
Mkuu, Rais wetu sio DHAIFU ila sisi watendaji wake ndio DHAIFU kama tukifanya kazi kwa bidii nchi hii itabadilika. Tukiona mtu hafanyi anachotakiwa kufany ni bora tumkanye. Hata ufisadi utaisha tukikemea maovu.
 
Brilliant indeed!!! Swali? Mzee Ruksa kaongoza kwa kipindi cha miaka kumi -right? Kaja BEN naye kaogoza kwa miaka kumi-eh? - Oh just a second, tusisahau awamu ya Kambarage ambayo kwa kipindi cha takribani miaka kumi na tano kabla ya kung'atuka kwake, tukiwa wakweli atuwezi kusema kwamba kipindi cha mwisho cha Kambarage TANZANIA was a bed of ROSES, tulikuwa na wakati mgumu sana kiuchumi.

Hebu tujaribu ku-analyse awamu zote tatu bila kuwa biased/jazba, kwa hesabu za chapu chapu inaonekana TAIFA letu limekua kwenye Economic TURMOIL na Mismanagement kwa kipindi cha miaka 35 (thelathini na TANO) repeat 35 kabla ya Jakaya hajashika usukani, hilo watu awalioni/kumbuka. Hivi tunamtendea haki kutegemea kwamba Jakaya anaweza kweli kusafisha madudu walio hacha wenzake within a record TIME ya miaka SITA!!!! hata Marshal plan haikuwahi ku-achieve such a feat at such a megaspeed.

Come on folks, tuwe wakweli bila ya kusutwa na dhamila ZETU - haya mambo ya kumlaumu wholesale na kumuita majina ya kila sampuli hayawezi kulisaidia TAIFA letu, raia wenye nia njema na TAIFA lao wangekuwa wanampa ushauri however crude bila kumuogopa au kuwa na hila za aina fulani kwa kumlahumu karibu kila kitu as if yeye alihusika moja kwa moja na matatizo ya TAIFA letu - wakati mambo yenyewe yalikuwa yamekwisha ota mizizi kwa kipindi cha muda mrefu TU (miaka 35) - WHY PICK ON HIM, if I may ask? Nauliza hili swali kwa kwa nia nzuri TU.

Ndugu mbona unazunguka sana? Nimesema mjanja ujifunza kwa makosa ya watu wangine na si kwa makosa yake, Jk alitakiwa kurekebisha makosa ya awamu zilizomtangulia, hata Raisi atakae kuja baada yake kama atashindwa kurekebisha makosa ya awamu zilizomtangulia naye tutamshambulia na kumpa majina kama tunavyofanya kwa Jk bila kujali atakuwa nani au anatoka chama gani.
 
Mkuu, Rais wetu sio DHAIFU ila sisi watendaji wake ndio DHAIFU kama tukifanya kazi kwa bidii nchi hii itabadilika. Tukiona mtu hafanyi anachotakiwa kufany ni bora tumkanye. Hata ufisadi utaisha tukikemea maovu.

Ifunya, upo Tz au unaishi ktk nchi inayojielewa? Hujui hapa Tz hata mkuu wa mkoa anaweza akatoa amri uwekwe ndani bila kosa na hakuna atakakaye hoji? Au hujui mkuu wa nchi yupo juu ya sheria? Au hujui babu Sea yumo ngome kwa shinikizo la nani?Kifupi ni kwamba haiwezekani kuwaonya/kuwarekebisha watu waliyo juu ya sheria.
 
Si alijifanya anajua kuchakachua kura... Mungu anamnyoosha sasa, kwa kuwa malipo ni hapa hapa duniani, na bado tutaona mengi tu... Na akimaliza muda wake ajiandae kupanda karandinga na kuchezea jela yeye na 1st born wake. Kwa kifupi dhambi itamtafuna mpaka anaingia kaburini...
 
Ndugu mbona unazunguka sana? Nimesema mjanja ujifunza kwa makosa ya watu wangine na si kwa makosa yake, Jk alitakiwa kurekebisha makosa ya awamu zilizomtangulia, hata Raisi atakae kuja baada yake kama atashindwa kurekebisha makosa ya awamu zilizomtangulia naye tutamshambulia na kumpa majina kama tunavyofanya kwa Jk bila kujali atakuwa nani au anatoka chama gani.

Watch/Read my lips - nimesema katika kipindi cha takribani miaka 30 na ushee tulikuwa na matatizo kama haya haya, mbona mlikosa ujasiri wa kuwasema/kuwalaani walio mtangulia kwa kushindwa KWAO kurekebisha MAMBO, repeat WHY PICK ON HIM?

Kitu kingine wana JF wana uhuru wa kutoa maoni yao - we can agree to disagree, hivyo ni vema kutumia lugha za staha, alafu haipendezi kujadili watu na mambo yao binafsi ambayo hatuna ushahidi nayo, kwa mfano: Sijuhi kama una ushahidi wa kuonyesha kama uliye mtaja humu anuhusika na tuhuma za Babu SEYA! Hayo mambo ya Babu huyo yanakujaje hapa? Wakati mwingine tunapashwa ku-refrain from chuki zetu binafsi kutawala jamvini badala ya kujadili vitu vya kusaidia TAIFA letu kustawi - nimesema mpeni maoni yenu ya kulisaidia TAIFA letu na sio kumshutumu come rain or shine, period.
 
Ameyataka mwenyewe wakuu wa JF. Aliingia kwa mkwara na akatujaza matumaini makubwa bali yasitekelezeka. Akawapeleka "vijipapa" mahakamani ili kutuzuga tu (Imagine Farijala et al.). Baada ya muda mfupi wakatuambia Mafisadi hawakamatiki na endapo utawagusa, basi nchi haitatawalika. Huyo ndiye Rais aliyekaa katika Wizara kadhaa kwa muda mrefu utoshao kuijua "System" Vizuri. hakuna sababu na wala hawezi kutudanganya kuwa hakujua madhara ya matamko yake from time to time. Amebaki kuwachukulia hatua "vidagaa" (Mf. Babu Seya) na kuwaacha "Nyangumi" wafanyao maovu nchini. Ushahidi wa kauli "tata" na "korofi' ambazo ni za ukweli zilizotolewa na Lowasa huko Dodoma juu ya Richmond na matusi dhidi yake ni ushahidi tosha. Ya kwamba hakujua nini juu ya sakata hilo; ili hali alipewa taarifa zote bila kunyimwa katika hatua yeyote. Mbaya zaidi ni pale ambapo tulihabarishwa kuwa alitoa "baraka" za kupatikana kwa mitambo hiyo kupitia kwa mzee wa "Siasa chafu" Rostam na mengineyo lukuki. Wahenga husema "Kama huna ubavu wa kuchukua hatua au kushughulikia tatizo, usibwatuke kuwa una ubavu wa kuchukua hatua ili hali huna uwezo huo" Watakucheka tu. Mwl. Nyerere alisema ..... Maskini hawezi kuleta jeuri kwa Tajiri, akimletea jeuri, tajiri atamcheka tu... atasema .. wewe ndiyo unaniletea jeuri mie.... Ngoja tutaona... Kimsingi baadae utafyata mkia tu na kwenda kumlamba/ kumwangukia miguuni kumwomba msamaha na msaada pia. These are some of the things that exemplifies how weak our Presidar is. Shame on him wajemeni!!! Alipoingia madarakani 2005, watanzania wengi na hata wale wa nchi zinginezo katika ukanda wa Afrika, tulidhani Mabomba yote yanayotoa maji yangeanza kutoa "Maziwa". This is too, too, too, too bad and very disappointing!! Afadhali muda wake uishe tugange yajayo. Lakini Katiba mpya..... Sijui!!!! Nahisi tupendekeze adhabu kali kwa wadhaifu wa aina hii.
 
nimekaa na kufikiri nikaona kama jk ameingia ulingoni kupambana ngumi (kuiongoza tz) ktk ulingo usiokuwa na muamuzi (raia ambao ni walalamikaji tu) na kocha wake (bunge). Halina mbinu mbadala. Jk kaelemewa sana na mpinzani wake (matatizo yaliyopo nchini) uso wake (wananchi) hautamaniki jinsi ulivyovimba na kutapakaa damu, kocha wake wala hana mpango wa kutupia taulo ulingoni na ni round ya 9, maskini jk, sijui mwisho wake itakuwaje! Hapa namaanisha raisi wetu nchi imekwishamshinda na hakuna chombo chochote cha serikali kitakacho mnyang'anya raisi madaraka mpaka atakapo maliza muda wake (huu ni udhaifu wa muundo wa kuiongoza serikali) wala wananchi hatuna ubavu wa kuingia street kumtoa raisi, wabunge nao wanaona poa tu raisi hajiwezi (dhaifu) lakini hawachukui hatua yoyote kuliokoa taifa. Nafikiri katiba mpya ni lazima kuwe na kipengele kinachosema kama itaonekana raisi hajiwezi kuiongoza nchi (dhaifu) basi aondolewe kikatiba kulinusuru taifa.

bunge lina malaka ya kupiga kura ya kutokuwa na imani na rais ndugu yangu!!! Na likifanya hivi rais anavunja bunge na kuitisha uchaguzi mpya hapo ndio karatasi inaweza kuamua tena lakini tujiulize bunge letu lina wabunge wa aina ganii? Ni wale wa ule wimbo wa hip pop wa ndio mzee!!! (i.e wabunge wa sisim)
 
JK anabeba mizigo ya watu ambao hawataki kuwajibika, tene hata nature za elimu yao ichunguzwe, wamekaa ofisini ,wakali kama shubiri kumbe wanamwaibisha rais wetu. nashuri tuwe na tume ya kuratibu maoni ya wananch ktk utendaji wa watumish wote wa serikali ili RAIS wetu apate auheni.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom