Maskini Chadema!

Natamani zito awe mwenyekiti wa chama. Aaakh!!! Napata kichefuchefu aaakh!!

Eti chadema wamefia mikononi mwa cuf????

Sasa tukipambanisha "mwenyekiti" na prof itakuwaje??
 
Simple minded pp. Badala ya kuchangia hoja wanajadili jina la mtu. Akili zao inafanana na viongozi wao
 
tuache kudiscuss mambo ki****se**nge ki****se**nge. CHADEMA wameongea na wameeleweka ila kuna watu humu JF wametumwa kufanya kazi maalum ya kutuletea habari zisizokuwa na maana. I think and am very sure on this, that's people in here are diverting attention ya watu ktk kujadili mambo ya msingi na the way foward. Kiktatiba hairuhusiwi au niseme hakuna popote mtu au taasisi yeyote anayeruhusiwa kumpinga rais akishatanganza na NEC. katiba hairuhusu. Finito, that's it KATIBA iliyowekwa na CCM hairuhusu. Kinachopingwa na CDM ni mchakato mzima uliomweka rais madarakani si rais mwenyewe kwa sababu sheria na taasisi ya utoaji haki ktk nchi yetu haitoi mwanya kuchallenge huu ukiukwaji mkubwa wa haki ya msingi. Utaratibu au mchakato usiokuwa huru na wa haki uliomweka rais wa sasa madarakani umepaliliwa na kulindwa kwa nguvu zote na NEC na hili ndilo dai lingine la CDM, Yani tume huru ya uchaguzi. Anyway tuache lkn humu ndani kuna watu wana agenda ya siri ya kudivert attention ya watu wengine. Unfortunately they r very weak na wala hawajui wafanyacho leave alone namna ya kufanya au kutimiza lengo lao bovu
 
Kati ya maajabu katika siasa ni ya chadema. Hawatambui matokeo ya urais halafu rais wanamtambua. Hii ni kali kama huamini kuwa hakushinda kwa halali basi ili takiwa asitambulike kama raisi halali. Wadau hebu tujadili hili. Sheria inasema rais akitangazwa basi. Lakini kutomtambua kwa namna yoyote kisiasa sheria haisemi chochote. Kinachosemwa rais wa nchi aheshimiwe. Kwa chadema peoples power hapa wanatuchanganya

...Wanachofanza cdm kiko simple and clear. Inabidi ujiulize kwanza ndio utaelewa.

...Otherwise mambo mengi yako wazi kama usiku na mchana.
 
Kati ya maajabu katika siasa ni ya chadema. Hawatambui matokeo ya urais halafu rais wanamtambua. Hii ni kali kama huamini kuwa hakushinda kwa halali basi ili takiwa asitambulike kama raisi halali. Wadau hebu tujadili hili. Sheria inasema rais akitangazwa basi. Lakini kutomtambua kwa namna yoyote kisiasa sheria haisemi chochote. Kinachosemwa rais wa nchi aheshimiwe. Kwa chadema peoples power hapa wanatuchanganya

kama nia hiyo basi heading yako imekaa ki blah blaha sana
 
tunapotaka kupima masuala kwa kutumia logic lazima kwanza tujue aina za logic
kwa mfano wa kwanza wa logic ni mathalani mlango ukifunguliwa nusu yake ni sawa mtu kusema aidha MLANGO UMEFUNGULIWA NUSU au MLANGO UMEFUNGWA NUSU
lakini pia unaweza kupima logic kwa mazingira haya mlango ukiwa umefungwa wote sio logic kusema kuwa kwa kuwa ulipofungwa nusu ulikuwa umefunguliwa nusu hivyohivyo ukifungwa wote basi Umefunguliwa wote.
n.k sasa tupime mantiki ya tukio lenyewe na tunavyotaka kulitafsiri kwa madai ya logic
 
Angalieni vitu vya kupost humu hata kama kila mtu anauhuru wa kujieleza lakini siyo vibaya tukawa tunaconsult hata wengine kabla ya kuja na hoja na kuomba ijadiliwe humu
 
Mi nakumbuka kuna hoja kama hii ilitolewa kwenye gazeti la raia mwema likielezea katiba ilivyo mbovu kuhusu suala hili la rais kutangazwa na kutohkuhoji kabisa. Jamaa alitoa mfano kwamba ikiwa NEC kwa makosa kabisa ikamtangaza mgombea ambaye hakushinda kabisa ila kwasababu keshatangazwa basi hatuna tena uwezo popote kupinga kuwa yeye sio rais. Sasa cha kupinga/kuhoji au kulalamika ni mchakato wa kumtangaza mgombea asiyeshinda kuwa rais. Hili halijakatazwa kisheria na linataka umma ujue na NEC ielewe ili kusitokee tena kituko kama hicho tena. Lakin aliyetangazwaanaendelea kupeta kwenye cheo hicho. Hivyo ishu ya CDM ni huo mchakato na utarekebishwa tu pindi katiba mpya itakapopatikana.

Kuna wanaosema CDM na vyama vingine vingesusua uchaguzi tokea mwanzo mana vilijua haman tume huru ya uchaguzi. Mi naona kama mechi ishapangwa alafu unagoma kuingia uwanjani timu pinzani itapewa point kiulain alafu utakosa grounds za kuprove madai yako kuwa refa alikuwa anapendelea au alionyesha kutokuwa fair hata kabla mechi kuanza. Yani utakuwa huna ushahidi kuwa refa anapendelea mpaka utakapocheza na video kumkamata refa akitoa penalt katitati ya uwanja. Sasa vyama vya siasa vimeingia uwanjani na refa(NEC) kashikwa kabisa na camera akito penalt kwa timu moja ktkt ya uwanja sasa tuna ushahidi ndo tunautumia tukichangaya na ile indication aliyoonyesha refa ya kutokuwa fair tuna kesi nzuri tu. Shida iko moja mahakama gani tutaitumia kusikiliza kesi yetu bila upendeleo tena?
 
tuache kudiscuss mambo ki****se**nge ki****se**nge. CHADEMA wameongea na wameeleweka ila kuna watu humu JF wametumwa kufanya kazi maalum ya kutuletea habari zisizokuwa na maana. I think and am very sure on this, that's people in here are diverting attention ya watu ktk kujadili mambo ya msingi na the way foward. Kiktatiba hairuhusiwi au niseme hakuna popote mtu au taasisi yeyote anayeruhusiwa kumpinga rais akishatanganza na NEC. katiba hairuhusu. Finito, that's it KATIBA iliyowekwa na CCM hairuhusu. Kinachopingwa na CDM ni mchakato mzima uliomweka rais madarakani si rais mwenyewe kwa sababu sheria na taasisi ya utoaji haki ktk nchi yetu haitoi mwanya kuchallenge huu ukiukwaji mkubwa wa haki ya msingi. Utaratibu au mchakato usiokuwa huru na wa haki uliomweka rais wa sasa madarakani umepaliliwa na kulindwa kwa nguvu zote na NEC na hili ndilo dai lingine la CDM, Yani tume huru ya uchaguzi. Anyway tuache lkn humu ndani kuna watu wana agenda ya siri ya kudivert attention ya watu wengine. Unfortunately they r very weak na wala hawajui wafanyacho leave alone namna ya kufanya au kutimiza lengo lao bovu

Nakuunga mkono Mzee Lasikoki, jamaa hao waliotumwa na mafisadi utawatambua kwa hoja zao, unaweza fikiri ni watu waliotoroka Milembe au ambao hawajaingia darasa hata moja ama kama watu waliovuta jani ndo wakaandika thread zao. Mtu kama Zhu (kwa kichina Nguruwe) mchafuzi wa hali ya hewa tu kila wakati-Anyway tuwapuuze na ujinga wao!
 
ndio maana nahitaji kutoa somo juu ya logic!!! sijui watu wanajenga vipi hoja wakaridhika katika vichwa vyao.

Logic yako haitafanya kazi hapa; maana kuna sheria kandamizi ambayo program ya logic itazitema na kupata FALSE tu. Noaomba usisumbuke maana logic inapatikana palipo wazi pasipo na sheria zenye maslahi hapo utakuwa unaongelea kitu kingine; watu wagumukuwaelewa Chadema ila itafika muda wataeleweka

1. Rais kachagualiwa kwa uchakachuaji (haukubaliki)
2. Katiba inalazimisha tume ikimtangaza hataka ni mchakachuaji huyo ni rais
3. Amani kama tunu ya taifa, inatakiwa ilindwe kwa hali na mali (Chadema wamefanikiwa kutuliza mashabiki wao) kudai wizi uliofanyika
4. Wamemwambia Rais "Kweli wewe Rais, ila ulichaguliwa kwa Wizi wa kura"-Huo ni ukweli na ukweli unauma sana
5. So Chadema naona wako sawa

Kwa kuzingatia logic haitafanya kazi vema namba 1 &2
 
ndio maana nahitaji kutoa somo juu ya logic!!! sijui watu wanajenga vipi hoja wakaridhika katika vichwa vyao.

Mkuu, kule UDSM kuna kozi ambayo ni compulsory inaitwa PL111. Hiki kizazi kilichoingia chuo kuanzia 2001 wanafundishwa logic. Lakini sasa sijui tatizo hili kwa nini linazidi. Mbaya zaidi mtu aliyeandika kitu kisicho na mantiki ukimwambia ni Kama umepiga upupu teke
 
1. Rais kachagualiwa kwa uchakachuaji (haukubaliki)
2. Katiba inalazimisha tume ikimtangaza hataka ni mchakachuaji huyo ni rais
3. Amani kama tunu ya taifa, inatakiwa ilindwe kwa hali na mali (Chadema wamefanikiwa kutuliza mashabiki wao) kudai wizi uliofanyika
4. Wamemwambia Rais "Kweli wewe Rais, ila ulichaguliwa kwa Wizi wa kura"-Huo ni ukweli na ukweli unauma sana
5. So Chadema naona wako sawa

Kwa kuzingatia logic haitafanya kazi vema namba 1 &2

Na pia wanatoa suluhisho la kuwa tunataka KATIBA NA TUME MPYA. Ili tuendeleee kulinda tunu ya utulivu na amani otherwise majukwaa hayasaidii chochote.

Well said.......wamecheza vizuri na sheria zetu ndo maana kuwepo pale akina Tundu Lissu.
 
Jamani ni wapi pale CHADEMA ilisema haitambui rais? Nielimisheni.

YouTube - Dr. Slaa atolea maelezo kutoka nje kwa Wabunge wa Chadema Nov. 18, 2010

Dr.Slaa amesema wazi katika clip iliyoletwa hapa kuwa CHADEMA haimtambui rais, kisha baada ya kama siku mbili hivi Mbowe akasema anashangaa myth hiyo imetokea wapi.

Naamini Jasusi kuwa hiyo clip uliiona maana ipo hata hapa.........Nenda kwenye dakika 2 utamsikia wazi.

"..........Kwa kuwa tulikwisha kukataa kutambua matokeo ya uchaguzi, na vile vile baada ya kukataa kutambua matokeo, tulikataa vile vile kumtambua raisi alietokana na mchakato huo ambao hatuutambui...."

"........Kitendo cha leo kilianzia asubuhi kwa wabunge wetu kutohudhuria hafla ya kumuapisha Waziri Mkuu kwa sababu isingekuwa na maana kwenda kuhudhuria hafla ambayo inasimamiwa na rais ambae kimsingi hatumtambui........"
 
Chadema walitaka kuiga cuf zanzibar ila walikosea mastep. Cuf hawakumtambua Rais kwa uhalisia maana hawakuapa wala hawakuingia bungeni kabisa,hivo walikosa posho zote na marurupu ya wabunge kwa kipindi chote walichokuwa na msimamo wao.Lakini cdm posho wanataka huku wanajifanya hawamtambui Rais.Mtaka cha uvunguni sharti ainame.wangeonyesha ubavu wa kuachia posho na marupurupu ndo msimamo wao ungeeleweka vizuri otherwise wamechemka
 
Back
Top Bottom