Kaitaba
JF-Expert Member
- Jun 30, 2009
- 916
- 52
Kuanzi jumatatu ya 7/11/2011 bajaji na boda boda hazitzruhusiwa kuonekana kati kati ya jiji la Dar, badala yake zinatakiwa kuishia pembezoni tu, Hii ni kwa mujibu wa SUMATRA leo hii.
MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA NA AJIRA .................., Ndo maana nikasema poleni jamani na ongera kwa kuichagua magwanda, vibaka watarudi uuuupya.
MAISHA BORA KWA KILA MTANZANIA NA AJIRA .................., Ndo maana nikasema poleni jamani na ongera kwa kuichagua magwanda, vibaka watarudi uuuupya.