Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,143
- 3,830
Mtoto uleavyo ndivyo akuavyo
kumbe CCM wana makanisa pia! duh, haya. ila kama mtu unaakili timamu huwezi kukubaliana na habari hii unless uwe na interest zako hasa za kidini.
ukiishi kwa upanga utakufa kwa upanga..ccm ndiyo wanaotugawa kwa udini na ukabila sasa imeanza kuwarudi..