Masisita du wengi ni wachafu

Masista duu wa ukweli huwa hawawi wachafu...nini uzoefu na masista duu,so nikimuona tu ata first time najua yupi wa ukweli yupi wa uongo...kama unataka maujanja karibu nikupe shule,nawe uanze kupiga viwango..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom