Mwenzenu nina masikitiko makubwa sana!
Nimetoka kumsikiliza mbunge mmoja wa Marekani akisimulia ambavyo nchi yake ilikampeni na kutenga karibu Milioni 23 (kama si bilioni) dola za kimarekani kuhakikisha KENYA wanaingiza kipengele cha "UTOAJI MIMBA" (ABORTION) kwenye KATIBA yao mpya. Yaani kuna watu kabisa wakakatiwa Mafungu kuhakikisha kwa njia yeyote ile Hicho kipengele kinapita. Nasisi waafrika tulivyo wajinga tunapokea pesa ili ndugu zetu wafe, maadili yaondoke n.k
Kama kweli hiyo serikali ya Marekani inatuonea huruma hivi si wangetupa dawa za Maleria tukomeshe gonjwa hili? Mbona ikifika kwenye hili Swala wanapiga chenga? Mimi nashindwa kuelewa.
Nahisi hiki kitu kinakuja Tanzania muda si mrefu na hivi tunavyopenda kuiga tu bila kujua athari tutakwenda na maji. Nimeona hapo MDAU ANASHABIKIA PAYPAL Kuingia kenya. Kaandika kwa masikitiko kiasi kwamba kama anaona wivu vile. MIMI NINA MASIKITIKO.
MASIKITIKO
MKWARE
Nimetoka kumsikiliza mbunge mmoja wa Marekani akisimulia ambavyo nchi yake ilikampeni na kutenga karibu Milioni 23 (kama si bilioni) dola za kimarekani kuhakikisha KENYA wanaingiza kipengele cha "UTOAJI MIMBA" (ABORTION) kwenye KATIBA yao mpya. Yaani kuna watu kabisa wakakatiwa Mafungu kuhakikisha kwa njia yeyote ile Hicho kipengele kinapita. Nasisi waafrika tulivyo wajinga tunapokea pesa ili ndugu zetu wafe, maadili yaondoke n.k
Kama kweli hiyo serikali ya Marekani inatuonea huruma hivi si wangetupa dawa za Maleria tukomeshe gonjwa hili? Mbona ikifika kwenye hili Swala wanapiga chenga? Mimi nashindwa kuelewa.
Nahisi hiki kitu kinakuja Tanzania muda si mrefu na hivi tunavyopenda kuiga tu bila kujua athari tutakwenda na maji. Nimeona hapo MDAU ANASHABIKIA PAYPAL Kuingia kenya. Kaandika kwa masikitiko kiasi kwamba kama anaona wivu vile. MIMI NINA MASIKITIKO.
MASIKITIKO
MKWARE