babuwaloliondo
JF-Expert Member
- Mar 14, 2011
- 378
- 174
About the Charter
Ukisoma hiyo linki utajua kuwa wenzetu ulaya wanangaika kupreserve lugha zao za asili ambzo nyingi zimekufa au kumezwa na lugha zingine sisi mpaka baadaye sana ndio tuaamka usingizini. Kwa mawazo yaha watanzania wako tayari lugha za Kigeni zienezwe mpaka vijijini ila za asili hazina nafasi tena, kweli psycological colonialism in nguvu kuliko physical presence ya mtu mweupe
Mimi nashindwa kuelewa ni kwa nini watanzania wone lugha zao za asili ni mbaya na zimepitwa na wakati, au ni ukabila.
Mimi nachukia sana kujifanya mzungu wakati wenzetu wanajivunia walichonacho.
Ni wakati wakurudia asili yetu