Nadhani hili neno lina maana nyingi. Masikini ni mtu asiye na mali/fedha au ni mtu mwenye mali/fedha kidogo ukilinganisha na watu wanaomzunguka. Mtu anakuwa masikini kutegemea na mazingira na watu wanaomzunguka.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.