Mkwawa, Kinjekitile, Abushiri na Mirambo: Biashara ipi iligharamia vita? Nini malengo ya vita zao?

usichojua wala kutaka kujua ni kwamba. Wajerumani waliamua kufanya collective purnishment kwa vilshanyika walikuwa nyuma ya hawa viongozi ingawa baadae walipoachwa nao waliendlea uzwa. Ni kuwa irrational km unavyojaribu kuwa hapa, umeset mind yako kuwatetea, ndio maana si rahisi kuwa mkweli hapa. Lets cut it shot...JE MKWAWA,KINJEKITILE, ABUSHIRI HAWAKUUZA WATUMWA?


Umeanza kimbilia kwamba nimekutukana,sasa hujaomba hata msamaha,kwa kuanza jialainisha km wabunge wa ccm.Wanapokuja hoja ngumu ya matendo yao ya aibu kuliko matusi.Wanadai wametukanwa as if hayo matusi hawajafanya kwa vitendo.

Nikuombe msamaha MTU kama wewe Ili iweje? Umegeneralize sana kusema wote walikuwa wafanyabiashara Wa utumwa.nakuambia tena sio wote walikuwa wafanyabiashara Wa utumwa

Sio wote walioingia kwenye vita kama makamanda wa utumwa,wangoni hawakuwa wanafanyabiashara ya utumwa,wapogoro,wandamba hawakuwa wafanyabiashara wa utumwa na makabila mengine.

Unawataja hao watatu tu wakati kulikuwa kuna viongozi zaidi ya 20 wakiwakilisha makabila yao ,isitoshe mkwawa hakupigana vita vya majimaji alikuwa ameshakufa,upo irrelevant na ukweli mkuu.

Majimaji ilikuwa ni vita ya kuikomboa Tanganyika kwa Mara ya kwanza kama taifa,ndio vita iliyounganisha utaifa kwa kumtambua adui yetu in nani badala ya kupigana kama kabila kwa malengo ya kikabila.
 
Kila mmoja alikuwa "Mzalendo" wa jamii yake. Biashara walifanya na Jamii za jirani. Walitoza KODI (Hongo) misafara iliyopita katika Nchi zao....Walikuwa na imani za Jadi (Jamii zao)..
 
Nikuombe msamaha MTU kama wewe Ili iweje? Umegeneralize sana kusema wote walikuwa wafanyabiashara Wa utumwa.nakuambia tena sio wote walikuwa wafanyabiashara Wa utumwa

Sio wote walioingia kwenye vita kama makamanda wa utumwa,wangoni hawakuwa wanafanyabiashara ya utumwa,wapogoro,wandamba hawakuwa wafanyabiashara wa utumwa na makabila mengine.

Unawataja hao watatu tu wakati kulikuwa kuna viongozi zaidi ya 20 wakiwakilisha makabila yao ,isitoshe mkwawa hakupigana vita vya majimaji alikuwa ameshakufa,upo irrelevant na ukweli mkuu.

Majimaji ilikuwa ni vita ya kuikomboa Tanganyika kwa Mara ya kwanza kama taifa,ndio vita iliyounganisha utaifa kwa kumtambua adui yetu in nani badala ya kupigana kama kabila kwa malengo ya kikabila.
mtu km mimi?Ingekuwa mtu mwingine ungeomba msamaha?Angekuwa wa familia yako,mnaofaidi jasho wa tanzania, kwa sifa ambayo mlifanya kinyume?
 
Kila mmoja alikuwa "Mzalendo" wa jamii yake. Biashara walifanya na Jamii za jirani. Walitoza KODI (Hongo) misafara iliyopita katika Nchi zao....Walikuwa na imani za Jadi (Jamii zao)..
jamii zao zilikuwa ndogo sana, ila sifa mnayowapa hapa ni kwamba walipigania TANGANYIKA. uongo mbaya sana, hizo jamii ambazo nyingi hazikuwa zao, zilikuwa kafir na hivyo haki ya kuwauza kwa imani yao ikawa ipo sawia. Pamoja na hayo uliyoongezea km hongo etc ni wazi hawa jamaa walikuwa wachafu sana.
 
Kweli nimeamini Nicolas kiboko thread yake FaizaFoxy & Mohamed Said wametimua mbinu nondo alizoziweka zimekuwa ngumu kweli kweli kuzivunja.
wapo busy, ile miaka yao ya serikali kuwapa mgao wao imeisha haraka sana.Ngosha anafuta mapema sana hiyo meza yao. Sasa anafuatilia hata elimu za dili kila kona.Faiza Fox sasa atakuwa kimya sana kuhusu kile kilio chao cha mamba ili kiwape sababu ya kuongezwa ktk idara za elimu. Eti walikuwa wakikatwa majina.
 
Ngongo,
Kuna lipi kubwa katika hiyo, ''nondo?''
Nisaidie kuelewa tafadhali.

Mkuu Mohamed Said nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusiana na mashujaa tuliofundishwa mashuleni (Kinjikitile,Mkwawa,Ab shiri & Mirambo) kumbe walikuwa wakishiriki na kufaidika na biashara ya watumwa.

Hili kwangu ni jambo jipya sana,sikuwahi kufikiri hata mara moja hawa mashujaa kwa mujibu wa silabasi ya mashule walikuwa na roho ya ukatili ya kuwauza waafrika wenzao kwasbabu ya kujipatia kipato.Kumbe vita vingi tulivyohadithiwa vililenga kulinda biashara yao ya utumwa.
 
Mkuu Mohamed Said nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusiana na mashujaa tuliofundishwa mashuleni (Kinjikitile,Mkwawa,Ab shiri & Mirambo) kumbe walikuwa wakishiriki na kufaidika na biashara ya watumwa.

Hili kwangu ni jambo jipya sana,sikuwahi kufikiri hata mara moja hawa mashujaa kwa mujibu wa silabasi ya mashule walikuwa na roho ya ukatili ya kuwauza waafrika wenzao kwasbabu ya kujipatia kipato.Kumbe vita vingi tulivyohadithiwa vililenga kulinda biashara yao ya utumwa.
Ngongo,
Ufafanuzi gani unataka kutoka kwangu?
 
Ngongo,
Ufafanuzi gani unataka kutoka kwangu?

Unakubaliana na Mheshimiwa Nicholas kuhusiana na hizi tuhuma za kushiriki biashara ya kuuza watumwa mashujaa wetu Mirambo,Mkwawa,Ab shiri ambao kabla ya bandiko hili walistahili kuitwa mashujaa lakini baada ya bandiko hili tunaweza kuwaita makuwadi,madalali au wahalifu wa utu wa mwanadamu.

Sheikh wangu Mohamed Said nilikuwa naomba maoni yako je unakubaliana na mleta hoja au unazikata na kama unakataa ni vyema ukatuwekea hoja za kupinga zisizona na ukakasi.
 
Mkuu Mohamed Said nilikuwa naomba ufafanuzi kuhusiana na mashujaa tuliofundishwa mashuleni (Kinjikitile,Mkwawa,Ab shiri & Mirambo) kumbe walikuwa wakishiriki na kufaidika na biashara ya watumwa.

Hili kwangu ni jambo jipya sana,sikuwahi kufikiri hata mara moja hawa mashujaa kwa mujibu wa silabasi ya mashule walikuwa na roho ya ukatili ya kuwauza waafrika wenzao kwasbabu ya kujipatia kipato.Kumbe vita vingi tulivyohadithiwa vililenga kulinda biashara yao ya utumwa.
Hawezi kujibu huyu jamaa, ila clue nyingine ipo ktk UBWANYENYE WA WAMANYEMA PALE DAR, WALE WANAJIONA NI WAAFRICA WA DARAJA LA KWANZA ,SABABU NI KWAMBA HAO JAMAA NDIO WALIKUWA MIDDLE MEN WA KUWAUZA WENGINE..WANA MSIKITI WAO PEKEE HAWANA KANISA KWA VILE UUZAJI WA UTUMWA UKANDA HUU ULIKUWA NETWEORK YA WAARABU NA AKINA MOHA SAID NDIO wapika historia ili historia mbaya ya hawa jamaa iwe nzuri,ili waendelee kuwanyonya wat wengine wanaowaona kuwa ni watumwa bado. WATUMWA WALIUZWA KWA RAHA NA BARAKA KWA VILE WALIKUWA MAKAFIRI. Time imepita na wao wanapitwa na wakati.
 
Unakubaliana na Mheshimiwa Nicholas kuhusiana na hizi tuhuma za kushiriki biashara ya kuuza watumwa mashujaa wetu Mirambo,Mkwawa,Ab shiri ambao kabla ya bandiko hili walistahili kuitwa mashujaa lakini baada ya bandiko hili tunaweza kuwaita makuwadi,madalali au wahalifu wa utu wa mwanadamu.

Sheikh wangu Mohamed Said nilikuwa naomba maoni yako je unakubaliana na mleta hoja au unazikata na kama unakataa ni vyema ukatuwekea hoja za kupinga zisizona na ukakasi.
Mkuu hana kitu hapa.HIstoria yetu ya hawa locals ni SCUM tupu. Ni historia iliyofadhiliwa na akina ghaddafi na wengine.Wazee wetu walilala sana hawa jamaa wakandika walichotaka, wakabadili Africa nzima,hata vita vya ukombozi Africa,vilikuwa failure kwa sababu vilifanya kazi ya muarabu ktk africa,na kilichobaki tukawafanyia wachina.
 
Hawa wapika historia ya Tanzania wameshikwa pabaya by surprise .Kwa hizi propaganda zao hawakuwa na material mbadala.Sasa wanataka wadanganya wadanganyika kwamba baada ya biashara ya watumwa kuisha ,sasa wanaweza endelea kula ktk uhai na migongo ya watanzania kwa gia kwamba walipigania uhuru wa mtanzania na si walipigania kuendelea kutuuaza.
 
NI mwaka mzuri wa kuondoa scums ktk nchi hiii.CCM inaumbuka kila idara,historia yetu nayo inajidhiri, na wasomi feki wanatawanyishwa.
 
Back
Top Bottom