Mashoga wa JF.

@blaine n kurt.
Maswali ya nyongeza.
Ulisoma boarding? Kuanzia darasa la ngapi?

Umekulia mkoa gani, hasa utotoni? Kama sitakukwaza

je katika familia yenu, umewahi sikia mwingine akiwa na tabia hii?

Je umewahi fikiria kuongea na familia yako kuhusu hili? Hapa kuna kitu nataka kuongea ila nasubiri jibu lako kwanza.
 
duh, naona kama ni kitu complicated
hasa ukizingatia amefanya kwa muda gani
je amekuwa addict wa hii kitu?

Mtu ukishakuwa addict ni ngumu kuacha.
Halafu, sidhani kama yeye anaona ni tatizo.
Ili uweze saidiwa mambo kama haya ni hadi wewe mwenyewe uone ni tatizo.

Ni ushauri zaidi ndo waweza saidia lakini kupata relapse ni kitu cha kawaida.

nimekusoma mkuu,hii mambo ni complicated sana,i had a friend with same problem,though nowdays anasema amefanikiwa kuacha,ila naamini bado hajaacha,anajaribu kudanganya
 
@ KakaKiiza, Thanks n I'm glad i didn't do suicide. It became easier after I saw on tv gay leading normal lives. Form5/6 was really good for me as I wasn't hated or made fun by other students,

@ Ikeli Nagiva, About 1/4 of my A-level knew as I wasn't scared after I saw they were okay with me. I remember talking with my best friend about the gay thing for hours during weekends. At college (UDSM) my girlpal form form6 knew and was cool. i told someone in my faculty during dinner in 1st yr, he is cool to this day. I told 3 others over 4 years. I became worried one of them would out me so i started complementing her excessively ili nimpotezee, it worked. I thought of telling others but decided not to. Of course my family doesn't know.

I sympathize for discriminated groups as they didn't choose to be so and most can't help themselves. i was lucky enough to study and made it. The ppl I told told me they don't mind after the 'put themselves in my shoes'. If more ppl thought like this we'd much less inclined to harm/discriminate against others.

Decriminalize gay relationships, it would be nice if I could be open at work. I also wish gays could marry (at least government wedding) not necessarily in churches/mosques.

Turning straight!! If I fall for a woman I wouldn't mind. I would not go to conversion or anything of the sort as I'm okay with being me.

I got you and wish you luck in your life. Let me stick to what I was born to do, I mean bang skinny chicks:eyebrows:
 
anataka kuacha kabisa
ila anapata 'relapse'
hiyo inatokea kwa maisha karibu yote
ndo maana unakuta mtu anaenda 'rehab'
baada ya muda tena anarudia kile kitu

nadhani labda kama kuna kitu kama klinik
anakuwa anahudhuria baada ya muda fulani continuously

ni ngumu sana.
nimekusoma mkuu,hii mambo ni complicated sana,i had a friend with same problem,though nowdays anasema amefanikiwa kuacha,ila naamini bado hajaacha,anajaribu kudanganya
 
Nafikiria kitu kimoja ila mimi naomba kumuuliza Mr,Blaine n kurt, kama mimi mleta mada je unahisi unahitaji msaada na ungependa kuachana na ushoga??japo umesema unaona maisha yanaendelea ila kwakuwa umesema wewe siyotegemezi inamaana unajieweka busy je wewe kama wewe msomi je ujaona kama nitatizo??
 
sijui Boflo alienda wapi? yule ndo anajulikana

first lady tunaomba orothesha sifa alizokuwa nazo boflo mpaka ukamtambua kuwa yeye ni mmoja wao ili zitumike kuwatambua na wengine -(alikuwa anajulikana kwa sifa/ vigezo gani?)
 
@blaine n kurt.Sijui niseme 'Pole' kama italeta maana.Kama nimekuelewa, hukuwa abused wala nini. Ulijikuta tu unavutiwa na wanamme kuliko wanawake?Na katika mapenzi, unaplay roles zote, nikimaanisha ya mwanamke na mwanamme?Kama jibu hapo juu ni ndio unaplay roles zote, je nikisema kuwa mwanamme anayependa s.h.o.g.a uwezekano wa yeye kugeuzwa mwanamke na mwezie ni mkubwa, ntakuwa sawa?Nina maswali mengi, hasa kuhusu ilianzaje. Kama mzazi, ili nisaidie hawa wengine wasije jikuta hivyo kwa uzembe wangu. Natumaini sijakukwaza.

Don't say sorry.

Yes

Yes

Sijaelewa, una maanisha kuvaa kama mwanamke na kubadili jinsia. la hasha. I still like doing man things, hanging out. Most gays don't want to be women.

I got gay vibes but you'd have to be mzungu or someone who knows gays prior to recognize. I can lie my way out pretty well since I'm closeted. If u suspect someone is gay (e.g. a son/brother/friend) ask somebody who knows gays he may help u.
 
@blaine n kurt.
Maswali ya nyongeza.
Ulisoma boarding? Kuanzia darasa la ngapi?

Umekulia mkoa gani, hasa utotoni? Kama sitakukwaza

je katika familia yenu, umewahi sikia mwingine akiwa na tabia hii?

Je umewahi fikiria kuongea na familia yako kuhusu hili? Hapa kuna kitu nataka kuongea ila nasubiri jibu lako kwanza.

I studied in day schools till college

Dar

No. Although my dad once mentioned about having a gay friend, I can't just ask him without rising flags.

Telling my parents is out of the question. I talked to my friend about telling them but he advised against. I might tell them when I'm 28+ which is a long way off.
 
Nafikiria kitu kimoja ila mimi naomba kumuuliza Mr,Blaine n kurt, kama mimi mleta mada je unahisi unahitaji msaada na ungependa kuachana na ushoga??japo umesema unaona maisha yanaendelea ila kwakuwa umesema wewe siyotegemezi inamaana unajieweka busy je wewe kama wewe msomi je ujaona kama nitatizo??
Not really I got no problem as I got people to talk to when I'm feeling down. I may get a woman for cover later but I haven't that far ahead.
 
Ok, ni kweli hadi uwe tayari kuwaambia wewe mwenyewe ndo waweza sema.

Japo kutosema napo hasa kwa watu unaowathamini kama wazazi na ndugu inamletea mtu matatizo ya kisaikolojia wakati mwingine.

Kuna mtu nafanya naye kazi kaka yake ni gay
ni mmarekani ambako hii kitu angalau wameizoea nadhani kuliko hapa kwetu
lakini alikuwa ananiambia kaka yake alipata shida sana kuendana na hali hiyo
sababu hasa alikuwa anaogopa familia yake watamwonaje
akawa alcoholic, akajaribu kuoa ikashindikana
ila alipowaambia nduguze na wakamhakikisha wanampenda na kumthamini hivyo hivyo kama alivyo
ikawa rahisi kwake
angalau na ile alcoholism ikapungua.

Jaribu kuongea na mama yako
unadhani hahisi?
As a mother, machozi yananidondoka kwa kweli
ni bora mwanangu aniambie mimi, aniombe ushauri
we will figure out the solution together
kuliko watu wengine.

Unachotakiwa ujue 'parents love their kids, no matter what'


Telling my parents is out of the question. I talked to my friend about telling them but he advised against. I might tell them when I'm 28+ which is a long way off.
 
Ok, ni kweli hadi uwe tayari kuwaambia wewe mwenyewe ndo waweza sema.

Japo kutosema napo hasa kwa watu unaowathamini kama wazazi na ndugu inamletea mtu matatizo ya kisaikolojia wakati mwingine.

Kuna mtu nafanya naye kazi kaka yake ni gay
ni mmarekani ambako hii kitu angalau wameizoea nadhani kuliko hapa kwetu
lakini alikuwa ananiambia kaka yake alipata shida sana kuendana na hali hiyo
sababu hasa alikuwa anaogopa familia yake watamwonaje
akawa alcoholic, akajaribu kuoa ikashindikana
ila alipowaambia nduguze na wakamhakikisha wanampenda na kumthamini hivyo hivyo kama alivyo
ikawa rahisi kwake
angalau na ile alcoholism ikapungua.

Jaribu kuongea na mama yako
unadhani hahisi?
As a mother, machozi yananidondoka kwa kweli
ni bora mwanangu aniambie mimi, aniombe ushauri
we will figure out the solution together
kuliko watu wengine.

Unachotakiwa ujue 'parents love their kids, no matter what'
true, i remember being suicidal in form3 and early form4 because I had NO ONE to talk too, no role models in tv etc. Later on during form4 I found a show that had real life gays; no cross dressing, overly feminine, stars etc. I managed to hide the shows name and watched it regularly and it really helped me. School friends can help if you're lucky. The issue with parents is that you dash their hopes/dreams they had of you, also if they react badly you'll end up in the streets. Also I'm worried about ndugu reactions. My mom has asked me if I'm gay as I've given off more vibes than usual lately but I strongly denied the accusations. It's just too painful to do it now so I'll wait
 
ok, asante, bora umenisaidia at least kujua mnajisikiaje.
Nikiwa na maswali zaidi ntauliza

anyway, sijui kama mama yako ni mwelewa kwa kiasi gani.
Ningekuwa katika viatu vyake, ningefurahi kama ungesema sasa.
Kama ameshawahi kukuuliza, jua she is worried about you badly.
Bora ukimwambia atatulia, utamdisapoint kwa muda lakini atazoea na kukukubali.


true, i remember being suicidal in form3 and early form4 because I had NO ONE to talk too, no role models in tv etc. Later on during form4 I found a show that had real life gays; no cross dressing, overly feminine, stars etc. I managed to hide the shows name and watched it regularly and it really helped me. School friends can help if you're lucky. The issue with parents is that you dash their hopes/dreams they had of you, also if they react badly you'll end up in the streets. Also I'm worried about ndugu reactions. My mom has asked me if I'm gay as I've given off more vibes than usual lately but I strongly denied the accusations. It's just too painful to do it now so I'll wait
 
ok, asante, bora umenisaidia at least kujua mnajisikiaje.
Nikiwa na maswali zaidi ntauliza

anyway, sijui kama mama yako ni mwelewa kwa kiasi gani.
Ningekuwa katika viatu vyake, ningefurahi kama ungesema sasa.
Kama ameshawahi kukuuliza, jua she is worried about you badly.
Bora ukimwambia atatulia, utamdisapoint kwa muda lakini atazoea na kukukubali.
Thanks for saying thanks.

My mom is pretty understanding as she works with wazungu at her office and did a lot of traveling, she even watches thestylenetwork. But I still can't man-up and tell her. I understand you're talking like a mother but I can't rush it, I only told 4 ppl since 2008, in time I'll do it just not now...

 
@ KakaKiiza, Thanks n I'm glad i didn't do suicide. It became easier after I saw on tv gay leading normal lives. Form5/6 was really good for me as I wasn't hated or made fun by other students,

@ Ikeli Nagiva, About 1/4 of my A-level knew as I wasn't scared after I saw they were okay with me. I remember talking with my best friend about the gay thing for hours during weekends. At college (UDSM) my girlpal form form6 knew and was cool. i told someone in my faculty during dinner in 1st yr, he is cool to this day. I told 3 others over 4 years. I became worried one of them would out me so i started complementing her excessively ili nimpotezee, it worked. I thought of telling others but decided not to. Of course my family doesn't know.

I sympathize for discriminated groups as they didn't choose to be so and most can't help themselves. i was lucky enough to study and made it. The ppl I told told me they don't mind after the 'put themselves in my shoes'. If more ppl thought like this we'd much less inclined to harm/discriminate against others.

Decriminalize gay relationships, it would be nice if I could be open at work. I also wish gays could marry (at least government wedding) not necessarily in churches/mosques.

Turning straight!! If I fall for a woman I wouldn't mind. I would not go to conversion or anything of the sort as I'm okay with being me.

Do u love women?
How did you become gay?
Have you ever wished that you were straight?...Would u be if there is that possibility?


BTW gays are nice people and most people misunderstand what it is to be gay, they think (like papabawa above) that gays can be picked up by just anyone! Its wrong coz they have dignity just like other people.There are gays who are low just like there are women/men who are low.
 
Do u love women?
How did you become gay?
Have you ever wished that you were straight?...Would u be if there is that possibility?


BTW gays are nice people and most people misunderstand what it is to be gay, they think (like papabawa above) that gays can be picked up by just anyone! Its wrong coz they have dignity just like other people.There are gays who are low just like there are women/men who are low.
Not s.e.x.u.a.l.l.y. I'm not drawn to women

It just happened

During my suicidal period
True, they are down low gays. It isn't healthy to do that, I once was a documentary/movie about 1 who got aids :hatari: and infected his girlfriend because he was secretly sleeping with any guy around
 
Back
Top Bottom