You is gay!
...you can say that again!
You is gay!
...you can say that again!
You is gay!
...why do you care?
...kutetea mashoga doesnt mean mimi ni shoga ni urofa tuu unakusumbua wewe,hata interracial relationship zilikuwa illegal under the law (in US) na watu walienda jela kwa hizo discriminatory law na basis ya hiyo law eti it was "UNNATURAL",mashoga wapo walikuwepo na wataendelea kuwepo sasa kwanini kuwabagua kwa sababu ya imani ambazo hazina proof yeyote,generation ya watu kama wewe mngetangulia mtu mweusi bado angekuwa anakaa behind the bus
I don't care. But why do you deny it? Aren't you proud of it?
...ur one sick gay like your gay dad!
Hawa ndio Great Thinkers kamanda! Wakishindwa hoja wanaanza kukushambulia personally.
Ohh unatetea mashoga so na wewe ni shoga, ohh unatetea wanawake basi na wewe mwanamke, ohh unatetea watoto na wewe ni mtoto, yaani mambo ya primary school.
Kuna kitu ambacho kwa akili yangu nashindwa kukielewa kabisa. Kusudi kubwa la kufunga ndoa kwa dini yeyote ile ni kuendeleza jamii kwa uzazi (reproduction).Sasa ukifungisha ndoa kwa watu ambao unajua kabisa hawana chance yoyote (not a chance in a million) ya kuzaa ili iweje? Pili hawa mashoga hawawezi kuzaa wanategemea nani awazalie watoto wa kuoana?
Hao wanaotetea ushoga - ni kwamba ni vipofu - wana macho lakini HAWAONI - ni viziwi - wana masikio lakini HAWASIKII - na kwa vile uharibifu umo ndani yao - umauti utawakuta kama walivyo - MSHAHARA WA DHAMBI NI MAUTI
Ukisoma debate yote humu na ile ya EA Federation utajua kwanini Tanzania ni nchi maskini sana na itaendelea kuwa hivyo na CCM itatawala milele!