Zawadi Ngoda
JF-Expert Member
- Aug 13, 2009
- 3,804
- 1,871
Hivi hili kanisa lipo Bongo?hivi kuna watu huwa wanaenda kanisani kudhihaki au inakuwaje
na wanajifanya wanatumia maandiko ya biblia
Huko katika biblia hakuna mambo ya kijinga kama haya
Yesu rudi upesi uokoe watu wako tunaangamia
Au ndio ni lile analoabudu MaxShimbe.
Tumsubiri MaxSIMBE AJIBU KWA MAELEZO YA KINA.