zomba
JF-Expert Member
- Nov 27, 2007
- 17,240
- 3,910
yah sio kuzaliwa kuwa mashoga, lakini wanakuwa na homony nyingi za kike na akishafika muda wa kubalehe ndio vichocheo hivyo vya kike vinakuwa juu na unakuta mtu anaanza kuplactice hayo mambo na ndio maana akasema wapo waliozaliwa hivyo
Hili lina utata kidogo, mimi sikubaliani nalo kuwa, ukiwa na hormones za kike zaidi ndio ulawitiwe? mbona kuna wanawake wengi sana hawalawitiwi?
Nadhani hormones za kike zikikuzidi unaweza kuota maziwa, unaweza kuwa na ulaini laini aina fulani ambao haiba zake ni za kike, unaweza ukawa na sauti nyembamba uongeapo, haina maana sauti nyembamba ndio ulawitiwe. Wala hainiingii akilini watu hulawitiwa kutokana na hormones zao. Inawezekana tu, unapokuwa na hizo dalili za kuwa na hormones za kike za ziada, basi watu wenye uchu wa ziada wa ngono (sex maniacs) hukutamani na kukurubuni (zaidi ukiwa ni mdogo, hujakomaa kujuwa zuri au baya) na kuchukuwa advantage ya kukulawiti, baada ya hapo, ndio unazowea tena, na ukisha zowea na aibu kukutoka ndio umeshakuwa shoga. Sababu hapa si hormones zinakufanya uwe shoga, bali, waharibifu ndio hukuharibu. Na kubwa zaidi nasikia, wataalam wanasema, sijui ni kweli au uongo, kuwa kwenye tupu zetu za nyuma ndio kuna mkusanyiko wa hisia ulio karibu, umekusanyikia hapo zaidi ya kwingine kokote mwilini, basi mkusanyiko huo ukichezewa, huleta raha, na hukufanya utamani tena na tena kuchezewa, na ukitanabahi umeshaharibikiwa.
Tupige vita vitendo hivi, kwa nguvu zetu zote. Tukiwaona watoto zetu walio wadogo (wa kiume) wana dalili za kuwa na hormones za kike za ziada au za kiume za ziada (kwa wanawake) tuanze kuwasaidia kwa kutafuta ushauri wa madaktari na kujaribu kuwafundisha wasidanganyike na waharibifu wa kike na wa kiume.