chavka
JF-Expert Member
- Jun 21, 2011
- 223
- 46
Unamaana ni jambo zuri hilo? maana kudai uhuru juu ya wakoloni lilikuwa nijambo jema. so na hawa pia ni jambo jema?? liz liz liz liz ebu muogope mungu japo kidogo duuu. ivi umeolewa au una mtoto? twapasa kumuomba mungu atuepushie mbali majinamizi kama haya na vizazi vye2.Ahhh well kuwachukia hakuongezi wala kupunguza chochote.Wapo na wataendelea kuwepo kwahiyo waacheni tu wajitetee....hata waaAfrika walivyokaa vikundi kupanga jinsi ya kujikomboa na kutafuta haki zao dhidi ya mkoloni wazungu waliwabeza na hawakufurahia.