KakaKiiza
JF-Expert Member
- Feb 16, 2010
- 11,555
- 8,552
Nimejaribu kuangalia haya mashirika ya mifuko ya jamii nakugundua kuwa ni wadharimu wanyonyaji wakuu wa wananchi!!
haiwezekani mwananchi achangie pesa yake na yeye asifaidike!!
Na wakati walumlipa unampa pesa ile ile aliyoiweka bila hata kumwongezea riba!!Wanatudanganya na kupewa masaada wa mazishi kuna mtu anahitaji kuzika??kama siyomatusi nini?Waweke utaratibu wa matibabu kwa insurance kama kweli wanataka kuwajali wanachama wao!
SWALI:
*Kodi mnazozipata kutokana na majengo zinafanya kazi gani??
*Mwananchama anafaidika vipi na vitega uchumi hivi?
*Je CAG anaenda kukagua kodi mnazokusanya kwa mwaka??
*Kwanini mfanyakazi anapo staafu asipewe angalau riba kwa pesa yake aliyoiwekesha tangu aanze kuchangia!!
SERA:
*Sera za kukopesha wananchi zinasemaje je zinahitaji kurekebishwa??
*Je ni lazima kuweko na ulazima wakustaafu ndo upewe pesa yako?kwanini unapoacha kazi usipewe pesa yako bila ya shariti lolote??
*Iangaliwe upya kuwepo na ongezeko la thamani kwa kila pesa ya mwananchama.
*Na mabenki yaanzishe akaunti za uzeeni unaweka pesa inakuwa inakuwa ila unakuwa uwezi kuitoa mpaka hapo utakapo staafu au kuacha kazi.
hii imifuko nilazima ibadilike ili kwenda na wakati kuliko kuwa mifuko ya wakubwa pekee ndiyo wanaruhusiwa kukopa badala ya wanachama.
haiwezekani mwananchi achangie pesa yake na yeye asifaidike!!
Na wakati walumlipa unampa pesa ile ile aliyoiweka bila hata kumwongezea riba!!Wanatudanganya na kupewa masaada wa mazishi kuna mtu anahitaji kuzika??kama siyomatusi nini?Waweke utaratibu wa matibabu kwa insurance kama kweli wanataka kuwajali wanachama wao!
SWALI:
*Kodi mnazozipata kutokana na majengo zinafanya kazi gani??
*Mwananchama anafaidika vipi na vitega uchumi hivi?
*Je CAG anaenda kukagua kodi mnazokusanya kwa mwaka??
*Kwanini mfanyakazi anapo staafu asipewe angalau riba kwa pesa yake aliyoiwekesha tangu aanze kuchangia!!
SERA:
*Sera za kukopesha wananchi zinasemaje je zinahitaji kurekebishwa??
*Je ni lazima kuweko na ulazima wakustaafu ndo upewe pesa yako?kwanini unapoacha kazi usipewe pesa yako bila ya shariti lolote??
*Iangaliwe upya kuwepo na ongezeko la thamani kwa kila pesa ya mwananchama.
*Na mabenki yaanzishe akaunti za uzeeni unaweka pesa inakuwa inakuwa ila unakuwa uwezi kuitoa mpaka hapo utakapo staafu au kuacha kazi.
hii imifuko nilazima ibadilike ili kwenda na wakati kuliko kuwa mifuko ya wakubwa pekee ndiyo wanaruhusiwa kukopa badala ya wanachama.