Chibolo
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 4,975
- 6,448
Kwa taarifa iliyotolewa leo asubuhi na mtangazaji wa kituo cha chanel ten ni kwamba katibu mkuu wa chadema atakuwa live leo ijumaa tarehe 29/07/2016 kwenye kipibdi cha mada motomoto akifafanua dhana nzima ya ukuta.
Stay tuned...mada itaanza saa 4:00 usiku
Stay tuned...mada itaanza saa 4:00 usiku