Ileje
JF-Expert Member
- Dec 20, 2011
- 8,796
- 12,239
Kufuatia hotuba ya JK leo kwa Taifa, ameonyesha wazi kuwa hivi sasa yuko katika wakati mgumu sana wa utendaji wake wa kazi. Amethibitisha kuwa anapata mashinikizo kutoka chama chake CCM, wabunge wake wa CCM, vyama vya upinzani na majukwaa mbalimbali ya kijamii.
Kutokana na mashinikizo hayo amekuwa anashindwa kutoa maamuzi muhimu kwa wakati akihofia upinzani anaoweza kukabiliana nao!
Je tutamsaidia namna gani ili Rais wetu aweze kufanya kazi zake kwa ufanisi bila woga wala mashinikizo?
Kutokana na mashinikizo hayo amekuwa anashindwa kutoa maamuzi muhimu kwa wakati akihofia upinzani anaoweza kukabiliana nao!
Je tutamsaidia namna gani ili Rais wetu aweze kufanya kazi zake kwa ufanisi bila woga wala mashinikizo?