Mashine za VAT bei yake halis hii hapa.Ni ufisadi mtupu TRA imetufanyia watanzania

sambu

JF-Expert Member
Jan 12, 2011
283
282
TRA wanatulazimisha tununue mashine za VAT kwa watu wao kwa bei mara 6 ya bei halisi ya bei mashine hizo. Kwa mfano Wakala wake anauza mashine ya DP-50 kwa shs 1,600,000. Hii mashine nimeifuatilia kwenye mtandao inauzwa Lei 560, hizi ni sawa na Euro 137 au shs 280,000 za ki- Tanzania. Sijaona kwenye mtandao ambako hii machine inauza zaidi ya euro 200 yaani shs 400,000. Hivi TRA wana maana gani kulazimisha watu wanunue hizi mashine kwa 1,600,000. Ushahidi wa bei niliyo taja upo hapa
http://www.aparaturafiscala.ro/design/pdf/Cash%20registers.pdf. Wana JF wataniuliza kwanini hii issue sikuipeleka kwenye biashara? Nikwa sababu huu ni ufisadi na ufisadi ni siasa zinazo ingilia biashara. TRA mnatupeleka wapi?:redfaces:
 
TRA wanatulazimisha tununue mashine za VAT kwa watu wao kwa bei mara 6 ya bei halisi ya bei mashine hizo. Kwa mfano Wakala wake anauza mashine ya DP-50 kwa shs 1,600,000. Hii mashine nimeifuatilia kwenye mtandao inauzwa Lei 560, hizi ni sawa na Euro 137 au shs 280,000 za ki- Tanzania. Sijaona kwenye mtandao ambako hii machine inauza zaidi ya euro 200 yaani shs 400,000. Hivi TRA wana maana gani kulazimisha watu wanunue hizi mashine kwa 1,600,000. Ushahidi wa bei niliyo taja upo hapa
http://www.aparaturafiscala.ro/design/pdf/Cash%20registers.pdf. Wana JF wataniuliza kwanini hii issue sikuipeleka kwenye biashara? Nikwa sababu huu ni ufisadi na ufisadi ni siasa zinazo ingilia biashara. TRA mnatupeleka wapi?:redfaces:

biashara yoyote inayofanywa na wahindi lazima kuna uchakachuaji. indian anaweza akatoka kwao omba-omba akifika tanzania anakuwa mfanyabiashara mkubwa anayepewa zabuni za serikali.

ofisini kwetu tumenunua milioni 3. upo?
 
Kataeni musikubali kudhurumiwa tumieni njia yeyote ambayo wananchi tutawaunga mkono munaweza kwenda maelezo mukalipia 20,000 mkatoa press release au mkaitisha press conference kwenye venue munayoifahamu ili TRA wathibitishe kwa nini bei ziko juu hivyo unaweza ukawa mradi wa maofisa kama ilivyokuwa kwenye speed governor au majenereta
 
TRA wanatulazimisha tununue mashine za VAT kwa watu wao kwa bei mara 6 ya bei halisi ya bei mashine hizo. Kwa mfano Wakala wake anauza mashine ya DP-50 kwa shs 1,600,000. Hii mashine nimeifuatilia kwenye mtandao inauzwa Lei 560, hizi ni sawa na Euro 137 au shs 280,000 za ki- Tanzania. Sijaona kwenye mtandao ambako hii machine inauza zaidi ya euro 200 yaani shs 400,000. Hivi TRA wana maana gani kulazimisha watu wanunue hizi mashine kwa 1,600,000. Ushahidi wa bei niliyo taja upo hapa
http://www.aparaturafiscala.ro/design/pdf/Cash%20registers.pdf. Wana JF wataniuliza kwanini hii issue sikuipeleka kwenye biashara? Nikwa sababu huu ni ufisadi na ufisadi ni siasa zinazo ingilia biashara. TRA mnatupeleka wapi?:redfaces:

Bei za walioteuliwa si pamoja na kukufungia, Configuration na training ya namna ya kutumia. Wanapokuja kwako kuna gharama ya usafiri na wataalamu wao lazima walipwe.
 
bei za walioteuliwa si pamoja na kukufungia, configuration na training ya namna ya kutumia. Wanapokuja kwako kuna gharama ya usafiri na wataalamu wao lazima walipwe.

hili ndio tatizo la watanganyika...eti mtu anatafuta sababu za ku-support huu wizi wa hali ya juu...kutumia hiyo mashine huhitaji training ...ni maelezo kutoka katika manul book... Labda huyo mtumiaji awe hajafika hata darasa la saba. Si ajabu tra zanzibar haitakiwi hata kidogo.
 
tra wanatulazimisha tununue mashine za vat kwa watu wao kwa bei mara 6 ya bei halisi ya bei mashine hizo. Kwa mfano wakala wake anauza mashine ya dp-50 kwa shs 1,600,000. Hii mashine nimeifuatilia kwenye mtandao inauzwa lei 560, hizi ni sawa na euro 137 au shs 280,000 za ki- tanzania. Sijaona kwenye mtandao ambako hii machine inauza zaidi ya euro 200 yaani shs 400,000. Hivi tra wana maana gani kulazimisha watu wanunue hizi mashine kwa 1,600,000. Ushahidi wa bei niliyo taja upo hapa
http://www.aparaturafiscala.ro/design/pdf/cash%20registers.pdf. Wana jf wataniuliza kwanini hii issue sikuipeleka kwenye biashara? Nikwa sababu huu ni ufisadi na ufisadi ni siasa zinazo ingilia biashara. Tra mnatupeleka wapi?:redfaces:

sababu kama hizo ndio kule zanzibar hawa watu wamewachoka... TRA ni sehemu ya ufisadi dhidi ya raia.
 
Wabunge tusaidieni katika hili. Kuna biashara ambazo hata kupata hiyo faida ya kununua mashine wanashindwa, lakini wanatishiwa faini ya sh 3m. Tumefika mahali sasa tumekuwa kama taifa la walevi ambao mafisadi wanaweza kuwafanyia chochote bila kuhoji kwanini tunafanyiwa hivi.
 
ndugu TRA haipo wala haiweki mazingira ya kusupport biashara ndogo ndogo,ipo kusupport biashara za wahindi tuu!huwezi amini serikalini kila nunuzi ni deal!ufisadi wa BMTL huo
 
Bei za walioteuliwa si pamoja na kukufungia, Configuration na training ya namna ya kutumia. Wanapokuja kwako kuna gharama ya usafiri na wataalamu wao lazima walipwe.

mkuu labda unsaidie kitu kimoja,kumchaji cost ya installation mteja ina maana mteja mwenyewe ndo aliyeomba kifaa kiletwe au tra waliamua kwa kuwa kitawasaidia tra kupata kodi halali? Je kwa nini wasifanye initial investment! Pili,ivi wanaofunga machine wanalipa sh.ngapi kama machine ni kama sh.lak4 na ukauziwa sh.1.6m? Je si wafanyakazi wa tra wanaofunga machine izo?je wanalipwa part time,peacemeal au mshahara ,kama wanalipwa mshahara kwa nini tutoze tena?mbona ofsini kwetu walikuja watu wa tra wawili na walikaa muda mfupi sana,je watalipwa ela yote iyo?je ukishamuuzia mteja tayari itakuwa mali yake kiasi kwamba akiacha biashara ataiuza? Nina maswali mengi kwenye mchango wako, labda nisaidie hayo kwanza!
 
Kuna uwezekano mkubwa kuna uchakachuaji wa bei.

Hata hivyo machine hizi zinatengenezwa na selected/TRA approved manufacturers kwa kufuata viwango na matakwa ya TRA. Kenya walianza kuzitumia kabla yetu, lakini za kwao zipo tofauti na hizi za TRA (huwezi kuchukuwa ile ya Kenya ukaja kuitumia Tz). Sasa hizi specific requirements za TRA kuna uwezekano mkubwa zimeongeza gharama kwa manufacturers na baadae bei kwa wanunuzi. Ni kwa kiwango gani sina uhakika!

NB: Bongo tambarare, lolote linaweza kutokea!
 
hili ndio tatizo la watanganyika...eti mtu anatafuta sababu za ku-support huu wizi wa hali ya juu...kutumia hiyo mashine huhitaji training ...ni maelezo kutoka katika manul book... Labda huyo mtumiaji wae hajafika hata darasa la saba. Si ajabu tra zanzibar haitakiwi hata kidogo.

Kwa hiyo ukiinunue inaanza kupeleka mawasiliano TRA bila kufanyiwa chochote?
 
mkuu labda unsaidie kitu kimoja,kumchaji cost ya installation mteja ina maana mteja mwenyewe ndo aliyeomba kifaa kiletwe au tra waliamua kwa kuwa kitawasaidia tra kupata kodi halali? Je kwa nini wasifanye initial investment! Pili,ivi wanaofunga machine wanalipa sh.ngapi kama machine ni kama sh.lak4 na ukauziwa sh.1.6m? Je si wafanyakazi wa tra wanaofunga machine izo?je wanalipwa part time,peacemeal au mshahara ,kama wanalipwa mshahara kwa nini tutoze tena?mbona ofsini kwetu walikuja watu wa tra wawili na walikaa muda mfupi sana,je watalipwa ela yote iyo?je ukishamuuzia mteja tayari itakuwa mali yake kiasi kwamba akiacha biashara ataiuza? Nina maswali mengi kwenye mchango wako, labda nisaidie hayo kwanza!

Mheshimiwa uwe umelipa TShs. 3million au TShs 1.6 million zote hizo unapunguza kwenye kodi ambayo ulikuwa ulipe TRA. Na hata kama huna kiasi chote, ukitoa deposit wanakuja kukufungia mashine. Hakuna mteja anayeibiwa LABDA tuseme Watanzania wote ndio tunaobiwa maana kodi ya VAT iliyokuwa ipokelewe TRA inaishia kwa hawa wauza vingamuzi vya kodi ya ongezeko la thamani
 
Kwa nini hili lisiwekwe wazi kwenye magazeti. Wamezidi hawa jamaa. Kwa kweli, nyoka akijitoa magamba huwa mkali sana, kwani ngozi mpya huwasha sana.
Tumkomeshee huyu nyoka wakati huu huu.
Jf naomba suala hili lipelekwe kwenye gazeti ili Watanzania waweze kujua jinsi wanavyoliwa.
Hoja ya kulipia configuration si ya msingi kwani wanaofanya kazi ya configuration ni wafanyakazi wa TRA. Hawa wanalipwa na TRA. Kila kitu kitafanywa na TRA sasa iweje mteja alipie? Huu ni wazi uliowazi kabisa. Matokeo yake bei za bidhaa zitapanda na sisi wananchi ndo tunaopata shida zaidi siku zote. Jamani!!!!!!
 
Hatua stahiki zinahitajika ikiwa ni pamoja na kwenda mahakamani. Nazimiss harakati za ukombozi wa nchi yangu!
 
kwa kweli inauma sana...na ukiyachunguza kwa undani hizo company ni za ma'ofisa wa TRA.......wamezitengeneza ili watafune vizuri pesa za walipa kodi.
 
Kuna uwezekano mkubwa kuna uchakachuaji wa bei.

Hata hivyo machine hizi zinatengenezwa na selected/TRA approved manufacturers kwa kufuata viwango na matakwa ya TRA. Kenya walianza kuzitumia kabla yetu, lakini za kwao zipo tofauti na hizi za TRA (huwezi kuchukuwa ile ya Kenya ukaja kuitumia Tz). Sasa hizi specific requirements za TRA kuna uwezekano mkubwa zimeongeza gharama kwa manufacturers na baadae bei kwa wanunuzi. Ni kwa kiwango gani sina uhakika!

NB: Bongo tambarare, lolote linaweza kutokea!
Ucdanganye wananchi, kila kitu ni sawa tofauti ni ku ipgram ni kama accounting apckage unatoa i print invoice ikionyesha nn na nn, eg kama unatumia Tally au Myob au Pastel zitatofautiana setting kutegemea na Nature ya Biashara,Mfano setting ya Manufacturing haiwezi kuwa sawa na na mwenye duka la Wholesale....Hapo changes wamefanya kwenye Tax Payer Name, VAT % na Currency tu.....wakiendelea sana tutaacha uzalendo tuanze kuzichakachua maana tunaweza,,,receipt inatoka but machine hai keep record,hii ndiyo bongo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom