Mashine za kutotolesha mayai (Incubators): Upatikanaji wake, aina zake, matumizi na ushauri

Thanks Chasha kutujuza mie sikuwaelewa niliona nimewekewa supplier wengi wote verified, sasa niendelee vipi nikakwama

Alibaba sio wauzaji wao ni waunganishaji, tu, ni kama livyo kwa jamii fulum leo hii huwezi tapeliwa na mtu humu janvini then ukaenda kuwalaumu wenye mtandao

Alibaba wana condition wamezi weka ambazo mnunuzi unatakiwa kufuata na ukizifuata huwezi tapeliwa, hii ni panoja na kuklipia kupitia ESCROW, hawa ukisha walipa pesa hukaa nazo na mpaka supler atume mzigo kwako ndo wao wampatie Suplier pesa, Hawawezi mpatia pesa muuzaji bila kwanza wewe kudhibitisha kwamba mzigo umetumwa na ndo wenyewe
SO WAKO FRESHI TU NA MIMI KUNA MZIGO NDO NAJIANDAA KUNUNUA KWA SUPLIER MMOJA MWEZI HUU,
 
Kuna jamaa vingunguti anatengeneza hizo kitu.
Ingawa sijawahi fanya nae biashara lakini ninauhakika na bidhaa zake maana ata contact zake nilipewa na watu wa SIDO.
 
Kuna jamaa vingunguti anatengeneza hizo kitu.
Ingawa sijawahi fanya nae biashara lakini ninauhakika na bidhaa zake maana ata contact zake nilipewa na watu wa SIDO.

Incubator Nyingi za Tz ni fake na ni pasua kichwa, kama zile za mafuta ya Taa ndo kabisa hazifai, unaweza weka mayai 200 yakatotolewa kumi tu,

Tatizo ni kwamba hwajawekeza kwenye tafit za kuziboresha wao wanacho jua ni pesa, niliwahi kukutana na mtengenezaji mmoja wa Incubator kwenye maonyesho ya nane nane, nilivyo muuliza ana muda gani tangu auvumbue hii mashine alinijubu ni takribani miezi mitatu, na hapo alikuwa nauza hiyo aliyo hundua ya kwanza, sasa fikilia hapo
 
Incubator Nyingi za Tz ni fake na ni pasua kichwa, kama zile za mafuta ya Taa ndo kabisa hazifai, unaweza weka mayai 200 yakatotolewa kumi tu,

Tatizo ni kwamba hwajawekeza kwenye tafit za kuziboresha wao wanacho jua ni pesa, niliwahi kukutana na mtengenezaji mmoja wa Incubator kwenye maonyesho ya nane nane, nilivyo muuliza ana muda gani tangu auvumbue hii mashine alinijubu ni takribani miezi mitatu, na hapo alikuwa nauza hiyo aliyo hundua ya kwanza, sasa fikilia hapo
Ok mkuu.
Sasa ukipata njia za ku-import from overseas usisite kuzimwaga hapa maana najua kutakua na wadau nyomi wanaoziitaji.
 
pale SIDO (VINGUNGUTI ) nimewahi tembelea incubator zao, ni za automatic mayai kuanzia 360 na kuna zenye uwezo hadi wa kutotoa mayai elfu nane kwa mara moja.Tembelea pale ,upate kuwaulizia ,unaweza kuta ubora wake hautofautiani na zinazotoka nje.
 
Sasa mkuu bei yake vipi yaani shs ngapi?

Bei zinategemeana na ukubwa wa Mashine yaani kiasi cha mayai inacho beba, Ila utaona kwamba Bei ya Mayai mengi haitofautin sana na ya mayai machache kwa sababu ghalama za kutengeneza ya mayai machache na mengi ni kama ni sawa baadhi ya vifaa ni hivyo hivyo vinatumika kwenye Kubwa na ndogo ni kama ilivyo kwa Flash Disc cost za kutengeneza Flash iwe ndogo iwe kubwa ni sawa,
 
Incubator ya kuangulia vifaranga 600 used na mpya bei yake vipi naomba mchango wenu wana jf kwa wenye uzoefu ktk hilo na efficiency yake.

Kuna jamaa wanaitwa 'Farmbase', simu yao ni 0754-332488.
Sina info nyingi kuhusu wao, ila wapigie uongee nao.

Pia kuna jamaa wenye simu namba 0719-932550.
Sikupewa jina lao, ila niliambiwa wanahusika na incubators.
 
Kwa uhakika zaidi embu nenda ofisi za SIDO wakuelekeze mana wanajua vizuri juu ya hili
 
Kwa hizi za bongo gharama zake shilingi ngapi? Yakuanzia mayai 100 mpaka 500.
Mkuu kwa China zinapatikana kwa Bei nzuri kabisa, za hapa Bongo hazifai kabisa ni kujitakia Presha, Ila bei inategemeana google alibaba utapata kila kitu,
 
vipi ulifanikiwa pata hizo incubator? Yakuanzia mayai 100 mpaka 500 bei zake zipi?

Kama unataka ni Kuunganishe na jamaa wa China hawana shida kabisa unapata bila tatizo na unaweza Chagua njia ya Kutumiwa kama ni Ndege au Meli, Ila kwa Ndege ni Ghali kidogo, Jamaa nafanya nao Business so hawana tatizo kabisa na hakuna Usanii hata kidogo
 
Kwani hakuna wafanyabiashara wanaoziuza hapa bongo? Kama wapo bei zao zikoje?
Kama unataka ni Kuunganishe na jamaa wa China hawana shida kabisa unapata bila tatizo na unaweza Chagua njia ya Kutumiwa kama ni Ndege au Meli, Ila kwa Ndege ni Ghali kidogo, Jamaa nafanya nao Business so hawana tatizo kabisa na hakuna Usanii hata kidogo
 
Kwani hakuna wafanyabiashara wanaoziuza hapa bongo? Kama wapo bei zao zikoje?

Wapo Wachina ila ni ghali sana bora mara mia kuagiza mwenyewe, Hata Kenya zipo nyingi tu ila nilijarubu kucheki bei zipo juu na Bei ziko juu kwa sababu wanaagiza kutoka China so nilazima na wao wauze bei fulani ili kupata Fiada, Incubators ya Mayai 880 kwa kenya ni 1,900,000 wakati ya aina hiyo kuagiza moja kwa moja na ghalama z bandarini inaweza angukuia 1,200,000

Ila zinazo Tengenezwa Bongo hazifai kabisa na kama zile za mafuta ya taa ndo kabisa, Ila kwa china zipo za mafuta ya taa ila ni ghali vibaya mno,

Na mara nyingi Incubators za mafuta ya taa ni Manual operation wakati za Umeme ni automatic, na uzuri wa automatic kama una uhakika na umeme unaweza seti time ya mayai kujigeuza then ukaenda zako kufanya shughuli zako, ila kwa mashine ambayo ni manual hautakiwi kubandua mguu hapo

ILA KWA ANAYE TAKA MIMI NA MPATIA ADRESS YA WACHINA FULANI WANAKUTUMIA MAKE TUNAFAHAMIANA NA NO USANII.
 
mkuu kuagiza kwakweli ni rahisi sana.cif price hadi inafika bandarini ni cheap sana ila kazi inaanza hapo bandari wakishapokea mzigo sasa huo mlolongo wa bandari na tra ndo hapo bei inapoenda hata mara tatu ya bei uliyonunulia.na vipi kuhusu msamaha wa kodi kwa baadhi ya vifaa vya kilino je hiyo bei ni baada ya msamaha??na vigezo vipi vya kupata msamaga wa kodi mkuu?asante
 
mkuu kuagiza kwakweli ni rahisi sana.cif price hadi inafika bandarini ni cheap sana ila kazi inaanza hapo bandari wakishapokea mzigo sasa huo mlolongo wa bandari na tra ndo hapo bei inapoenda hata mara tatu ya bei uliyonunulia.na vipi kuhusu msamaha wa kodi kwa baadhi ya vifaa vya kilino je hiyo bei ni baada ya msamaha??na vigezo vipi vya kupata msamaga wa kodi mkuu?asante

Mkuu Incubators ziko kwenye kundi la Msamaha wa kodi na hiyo iko wazi, na inajulikana kazi yake ni Kunagulia mayai, ghalama za bandalini ni kweli ziko juu ila haiziwezi fika Milioni zinaangukia kwenye laki 7 mpaka 6
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom