Nilienda dukani kwa ajili ya kununua vitu mbalimbali vya dukani na kuona mashine ya kunyolea kama zile za Bic au gillete inaitwa Al Shabab ipo dukani. Ninajiuliza swali je zinatengenezwa na kundi la Al shabab la Somalia au imetokea tu majina kufanana?. Na kama zinatengenezwa na kundi hilo kwanini zimeruhusiwa kuingizwa TZ?.