Mathematician
JF-Expert Member
- Nov 8, 2009
- 326
- 108
Habarini wadau!
Mashine mbili za kukamulia juice ya miwa zinauzwa. Moja inatumia umeme na nyingine ya kusukuma kwa mkono.
Zinauzwa kwa pamoja 1.5M bila kupungua wala kuzidi hata senti moja. Ziko Mbagala Kibonde maji. Zimetumika kwa muda usiozidi miezi minne tu.
Kwa mawasiliano mpigie mwenye mashine 0714620265.
Natanguliza shukrani.
Mashine mbili za kukamulia juice ya miwa zinauzwa. Moja inatumia umeme na nyingine ya kusukuma kwa mkono.
Zinauzwa kwa pamoja 1.5M bila kupungua wala kuzidi hata senti moja. Ziko Mbagala Kibonde maji. Zimetumika kwa muda usiozidi miezi minne tu.
Kwa mawasiliano mpigie mwenye mashine 0714620265.
Natanguliza shukrani.