Mashine za kukamua miwa kwa ajili ya juice zinauzwa

Mathematician

JF-Expert Member
Nov 8, 2009
326
108
Habarini wadau!
Mashine mbili za kukamulia juice ya miwa zinauzwa. Moja inatumia umeme na nyingine ya kusukuma kwa mkono.
Zinauzwa kwa pamoja 1.5M bila kupungua wala kuzidi hata senti moja. Ziko Mbagala Kibonde maji. Zimetumika kwa muda usiozidi miezi minne tu.
Kwa mawasiliano mpigie mwenye mashine 0714620265.

Natanguliza shukrani.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom