Kaka unayosema ni ya ukweli?kwa sababu pale Mwenge mwisho kama unaenda Lugalo Jeshini kuna jamaa wanatengeneza hizo mashine mimi nlipita hapo mwanzoni mwa mwaka huu hiyo mashine walisema inauzwa 400,000.Mbona ni cheap sana,haizidi laki na ishirini(120,000/=) Nenda Mbagala mwisho zipo za kukinga!!
kama upo barabara ya morogoro dsm ninayo naweza kukukodishia ukafanyia kazi wakati unajipanga kununua ya kwako mkuu.
naihitaji sana, najua nafasi yangu kama mkuu wako huku CC itanisaidia,ntakutafuta@Mamdenyi
nahitaji mashine yakufyatulia matofali mpy au used sawa tu ilhali iwe kwenye hali nzuri nahitaji sana,sio ya umeme.
mwenye nayo PM tu au weka na bei na ikiwwezekana picha nitafurahi sana ,nahitaj weekend hii ianze kazi sawa!!
nawakilisha wakuu
Piga number 0713 551394 huyu jamaa ni mtengenezaji yuko Tabata Dampo.. Nina wasiwasi na hy ya 120,000.00 Mi nilinunua kwa huyo jamaa 380,000.00
Kaka unayosema ni ya ukweli?kwa sababu pale Mwenge mwisho kama unaenda Lugalo Jeshini kuna jamaa wanatengeneza hizo mashine mimi nlipita hapo mwanzoni mwa mwaka huu hiyo mashine walisema inauzwa 400,000.
Kama upo Dar pitia hapo Mwenge uulize