Mashine ya Matofali

,kuu pambanua ratio 1:40 unatumia debe/mfuko wa rambo ama ndoo ili wanaotaka kujaribu wajue wanapima na nini najua engineers wanajua unaongea nini lakini si wote wanaoujua mpwa

natumia ndoo ya lita 10 ila ratio unaweza jaribu kwa kipimo chochote hata kisado au chepe au debe mradi mfano ukisema ratio ya 1:40 basi utatumia kisado kimoja cha sementi kwa visado vi3 vya udongo na mixed soil haitakiwi ilowe kama zege unakuwa mbichi tu maji ya kunyunyizia kuweza kufinyanga tonge kama la ugali likanatana mmmh kwa leo yatosha c u tomoro class!
kwa utamu zaidi google'' safido interlocking brick machine''
 
Hawa jamaa wana akili nzuri kweli hawa? Hiyo mashine ukiitumia kwa mwaka mmoja lazima kiuno kikatike! The liver/handle is too long (ukiacha swala la kurefusha ili kupunguza power used) na handle inakwenda hadi chini ndo tofali litoke.............weeeee!!!! Sijaona ubunifu hapo!
hata mm nakubali hamna ubunifu ila tunaibiana na kuumizna migongo.
 
Mbagala near dar live waulize wale wafanyakazi wa shigongo watakuelekeza,maana pale dar live walikua wanapiga matofali zamani kabla shigongo ajajenga ukumbi.

Ni kweli kilikuwa kiwanda pale lakini jamaa alishauza siku mingi na akapotea na sijui alipo tena, ni muda mrefu sana hata kabla Eric hajaanzisha mradi wake pale!!!
 
Nilikuwa na vijana watatu walikuwa wanafyatua mifuko 10 ya cement kwa siku mfuko mmoja tofali 50
mzeee tofali 50 kwa mfuko wa cement? mbona hii takwimu sio sahihi kwa Interlocking mkuu, angalia hii attachement (ahhhh nashindwa kiweka) nipeni shule...) lakini kwa kuanzia angalia hii
Percentage of clay in the soil
30 3 (approx 1:32), 5 and 7
40 4 (1:24), 6 and 7
50 5 (1:19), 7 and 9
60 6 (approx 1: 16), 8 and 10
70 7 (approx 1: 13) and 9
80 8 (1:11.5) and 10
90 10 (1:9)
 
duh interpreneur inabidi ubadili jina ujiite google lol! full data maswali yote humu umeyajibu na umepata 100/100

ila kwa kuongezea tu hata mi ninayo kwa mfuko mmoja wa sement napata tofali 120 udongo natumia vumbi la mawe au wanaita ''morram'' mashine inahitaji kumwagiwa oil mara kwa mara ratio ya udongo na cement ni 1:40 maji ndoo 3 za lita 20 ila hii ratio inategemea na aina ya udongo na kiasi cha mfinyanzi kwenye udongo ila kuna mashine zake za kutumia disel au umeme zinatoa tofali zinazolingana na kwa siku fundi3 wanapiga tofali 500 wakichoka 400 ila haivunji kiuno na ukinunua mashine kwa hawa wa TBA au NHBC wanatoa training bure kwa vijana utakao watumia kukufanyia kazi hadi wafuzu tayari kufanya biashara au kujengea nyumba yako. yako economic unasave hela ila yanatumia maji mengi kumwagiliwa kama ya tofali za cement za kawaida. ukihitaji tufanye biashara kwa anayetaka nauza tofali moja sh. 900 hapa utajenga nyumba bila kuwa fisadi

nimesoma vibaya au umeandika vibaya... sh 900 tofali moja acha utani bana
 
na wewe ushazoea kudesa upewe sehemu ya kuzipata ushauriwe na bei
loh embu nenda dit bana ukishindwa njoo mwenge pale lugalo kwa mzee wa trillion kua uyaone

Thnak you for the comment........duh kumbe wanifahamu hivyo!
 
Kujenga ukuta/uzio wa nyumba kwa kutumia interlocking bricks

Wakuu Naona uzoefu wenu kuhusu uimara wa uzio na pia bei,,,,
 
kuna zingine apo arusha kamatech, zinatengeneza matofal ya udongo yasiyo na cement at least haziitaji nguvu sana. na tofali ni saizi ndogo kama nusu ya hiyo unayoiona kwenye picha, bei 950,000 tzs.
mkuu zinatoa tofali ngapi at once?.. bei ni fixed ama?
 
na hii nayo kwa hapa bongo naweza kuipata wapi?

nimeipata kwenye web flani ambayo inazungumzia mambo ya zambia..

ibm2.jpg


Improved Interlocking Block Machine
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom