Safari_ni_Safari
JF-Expert Member
- Oct 5, 2007
- 23,268
- 17,097
NAHITAJI MASHINE KAMA HII, NTAIPATA WAPI?
kwenye hiyo habari uliyotoa picha wamesema machine inapatikana wapi na kwa sh. Ngapi.
"mashine hizo kwa mujibu wa wakala wa serikali wa ubunifu wa vifaa vya ujenzi (nhbra) ambao ni watengenezaji na wasambazaji wa vifaa hivyo, zinagharimu sh450,000 kila moja".
Kwenye hiyo habari uliyotoa picha wamesema machine inapatikana wapi na kwa sh. ngapi.
"Mashine hizo kwa mujibu wa Wakala wa Serikali wa Ubunifu wa Vifaa vya Ujenzi (NHBRA) ambao ni watengenezaji na wasambazaji wa vifaa hivyo, zinagharimu Sh450,000 kila moja".
"Mashine hizo kwa mujibu wa Wakala wa Serikali wa Ubunifu wa Vifaa vya Ujenzi (NHBRA)
Picha nimeziokota humu humu...Hawa wakala wa serikali wa ubunifu wa vifaa vya ujenzi (nhbra) wanapatikana wapi?
P.O.Box 1964 |
Sam Nujoma Road,Mwenge,Dar es Salaam |
Tanzania |
| info@nhbra.go.tz |
| +255222771971 |
| +255222774003 |
Wapo Mwenge, Dar es Salaam. Unaweza ukawatembelea HAPA
Contact zao ni:
P.O.Box 1964 Sam Nujoma Road,Mwenge,Dar es Salaam Tanzania
info@nhbra.go.tz +255222771971 +255222774003
Hawa jamaa wana akili nzuri kweli hawa?
Hiyo mashine ukiitumia kwa mwaka mmoja lazima kiuno kikatike!
The liver/handle is too long (ukiacha swala la kurefusha ili kupunguza power used) na handle inakwenda hadi chini ndo tofali litoke.............weeeee!!!!
Sijaona ubunifu hapo!
Asante mkuu..........ni ile iliyokuwa Tanzania Building Agency
| |
Nenda mbagala pale watakuchongea kama hyo kwa 250,000/=
Nenda mbagala pale watakuchongea kama hyo kwa 250,000/=
Ndio maana yake Mkuu, kitaalamu inaitwa INTERLOCKING BRICK PRESS MACHINE. But interlocking blocks zipo za aina tofauti. Machine hubadilika kutokana na aina ya matofali.Je hii mashine ni ile inayotengeneza matofali ya 'interlocking'?
Ndio maana yake Mkuu, kitaalamu inaitwa INTERLOCKING BRICK PRESS MACHINE. But interlocking blocks zipo za aina tofauti. Machine hubadilika kutokana na aina ya matofali.
Mkuu hii Machine inaoperate manually, hivyo inategemea sana nguvu zako na speed yako tu. Ni vyema ukajipima mwenyewe, au ukampima kijana unayetaka kumkabidhi (hakuna suala la machine kuchemsha hapa)Daily capacity yake ikoje?