Mashine ya kumwagilia isiyotumia umeme

ntita

JF-Expert Member
Dec 31, 2013
513
285
Wanajamvi habarini.

Nimeanzisha bustani ya mbogamboga ila changamoto nnayoipata ni katika umwagiliaji kwani maji ya kumwagilia nayachota kisimani (bustani inahitaji kama ndoo 100 kwa siku).

Hivyo nilikua naomba msaada wenu wa aina ya mashine (pump) isiyotumia umeme inayoweza kunisaidia kutoa maji kisimani

NB:
Iwe ya gharama nafuu.

Natanguliza shukrani.
 
Money maker itakufaa kwa ndoo 100 ijaribu last time ilikuwa bei kama 200,000 pale TFA
 
ufanisi wake ukoje
money maker pump unai operate manually, kwa kifupi unahitaji watu wawili...mmoja wa kui run mwingine wa kumwagilia!!! sio siri unatakiwa uwe umeshiba dona, na miguu iwe na nguvu!!!

Ila kuna option ya pump za solar (sina hakika, ila gharama zake zitakua juu kiasi flani)

Au nunua pump ya diesel/petrol nadhani hii itakufaa zaidi!!
 
money maker pump unai operate manually, kwa kifupi unahitaji watu wawili...mmoja wa kui run mwingine wa kumwagilia!!! sio siri unatakiwa uwe umeshiba dona, na miguu iwe na nguvu!!!

Ila kuna option ya pump za solar (sina hakika, ila gharama zake zitakua juu kiasi flani)

Au nunua pump ya diesel/petrol nadhani hii itakufaa zaidi!!

ok.. je hiyo pump ya petrol ina tija maana ni bustani kwa ajili ya biashara.. je gharama yake ya kuinunua na utumiaji wake wa mafuta ukoje?
 
ok.. je hiyo pump ya petrol ina tija maana ni bustani kwa ajili ya biashara.. je gharama yake ya kuinunua na utumiaji wake wa mafuta ukoje?
Ni vyema ukawatafuta wauzaji, kwa kuwa ziko pampu za petrol dizaini nyingi na ufanisi wake upo tofauti kutegemea matashi ya mtengenezaji na mtumiaji. Kama upo Dar tembelea kariakoo au Indira Gandhi Street utakuta maduka yanayouza pampu.
 
Ni vyema ukawatafuta wauzaji, kwa kuwa ziko pampu za petrol dizaini nyingi na ufanisi wake upo tofauti kutegemea matashi ya mtengenezaji na mtumiaji. Kama upo Dar tembelea kariakoo au Indira Gandhi Street utakuta maduka yanayouza pampu.

ok.. nashkuru sana
 
Iwapo kisima kirefu zaidi ya mita nane kufikia maji pump ya petroli haifai(itakuwa shida pump kunyonya maji- suction limitation)
 
Iwapo kisima kirefu zaidi ya mita nane kufikia maji pump ya petroli haifai(itakuwa shida pump kunyonya maji- suction limitation)

then whats the best choice

je.. money maker inafaa kwa umbali huo?
 
then whats the best choice

je.. money maker inafaa kwa umbali huo?
According to specification Moneymaker pump has a maximum suction lift of 6.5 metres. Possible solution :
1. D.C. water pump with solar panel.
2. Generator (iwapo site haina umeme) na A.C. water pump.
 
According to specification Moneymaker pump has a maximum suction lift of 6.5 metres. Possible solution :
1. D.C. water pump with solar panel.
2. Generator (iwapo site haina umeme) na A.C. water pump.

mh.. ok thanks mkuu
 
Kama upo karibu na chanzo cha maji. Agiza mashine ya solar toka china. Max ni 700000 mpaka inafika. Solar panel yake ni 120w inatosha kumwagilizia zaidi ya ekar 4 kwa siku. Mimi ninayo moja natumia.
Vp inafaa kwa kisima kirefu kiasi??
 
Back
Top Bottom