JEKI
JF-Expert Member
- Aug 16, 2013
- 4,845
- 2,937
Wapendwa wana jamii, Poleni na majukumu.
Naomba mwenye kujua wapi naweza pata hizi machine za kukamua juice ya miwa na bei zake tafadhari, nafikiria kuanza huo mradi nikiipata hiyo machine kama Mungu akinijaalia.
Asanteni.
nenda pale ubungo mataa ya shekilango business park, zipo za kila aina na kwa bei saafi kulingana na ubora zinaanzia laki hivi.