Angel Nylon
JF-Expert Member
- Jul 26, 2011
- 8,297
- 16,463
Japan ilitengeneza mashine ya kukamatia wezi na kuipitisha ktk nchi tofauti kwa ajili ya kui test.
Japan baada ya dkk 9 ilikamata wezi 4,711
china baada ya dkk 15 ilikamata wezi 11, 507
Nigeria baada ya dkk 6 ilikamata wezi 141,333
Kenya baada ya dkk 2 ilikamata wezi 55, 312
Tanzania baada ya dkk 5 mashine yenyewe iliibiwa...........
Japan baada ya dkk 9 ilikamata wezi 4,711
china baada ya dkk 15 ilikamata wezi 11, 507
Nigeria baada ya dkk 6 ilikamata wezi 141,333
Kenya baada ya dkk 2 ilikamata wezi 55, 312
Tanzania baada ya dkk 5 mashine yenyewe iliibiwa...........