mashindano ya SHIMIWI kwa faida ya nani?

Geza Ulole

JF-Expert Member
Oct 31, 2009
58,781
78,451
Hivi wajameni yale mashindano ya SHIMIWI yanayotumia fedha nyingi kusafirisha timu toka wizara usika kwenda kushiriki michezo mikoa mingine yana faida gani? Naomba kujua maana naona kama ni njia fulani ya ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za taifa ukizingatia zinadaiwa kuwa finyu. Ni kwanini basi rasilimali hizo zisielekezwe katika kutengeneza ajira kwa vijana kwa kuwaaandaa wale wa mashuleni na mitaani wakiwa wadogo na kutoa fursa ya uwezekano wa kupata ajira hapo baadae ukizingatia kimichezo tupo nyuma sana! kwanini rasilimali hizo zisitumike kutengeneza kambi ya wanariadha au mchezo wa soka au basketiball au hata hata netball?

Hivi Pinda anafikiri haya kweli au ndo ile dhana ya kuwa unakula kwa urefu wa kamba yako yaani yule aliyekaribu na hazina hukarimiwa zaidi? Kwangu mimi binafsi sioni faida ya kumkirimu wazee wetu katika wizara wakati wanaweza kufanya michezo bila ya kuingia katika matumizi mabaya ya fedha zinazosemekana ni kidogo na bila ya kuwa na matarajio yeyote kutokana na michezo hiyo yaani kama kutengeneza ajira.
 
Kwa faida ya wachezaji na mabosi wanaotaka kutembea na ma Ps wao kwa kuwapeleka nje ya eneo mbali na waume zao ili wakawale uroda!Maana hata ukifuatilia wengi ni kinadada ma Ps wafagia ofisi,mamesenja na alikes ndo wanaenda huko kisha utakuta vidume vinawafuata hukohuko walipokwenda!!!Hata hivyo naomba kumpongeza yule jamaa wa aliyetengeneza movi maarufu uliyochanganya wakina ponda potepote...walipo maana imeonesha ukweli kwa kiasi kikubwa kwamba jamaandivyo walivyo maana wamefanya vurugu tofauti na mafundisho yanavyowataka na kumpa umaarufu mtengenezaji
 
Michezo ni afya popote duniani

tuache kutafuta wachawi kutokana na kukosa nidhamu kwetu wenyewe........... taifa lisilo na michezo kama kipaumbele ni taifa lisilo na nidhamu
 
Kwa faida ya wachezaji na mabosi wanaotaka kutembea na ma Ps wao kwa kuwapeleka nje ya eneo mbali na waume zao ili wakawale uroda!Maana hata ukifuatilia wengi ni kinadada ma Ps wafagia ofisi,mamesenja na alikes ndo wanaenda huko kisha utakuta vidume vinawafuata hukohuko walipokwenda!!!Hata hivyo naomba kumpongeza yule jamaa wa aliyetengeneza movi maarufu uliyochanganya wakina ponda potepote...walipo maana imeonesha ukweli kwa kiasi kikubwa kwamba jamaandivyo walivyo maana wamefanya vurugu tofauti na mafundisho yanavyowataka na kumpa umaarufu mtengenezaji
wewe sio mzima wa akili,maana hayo mawazo yako ya kungonoka tu si mazuri
hakuna mtumishi asiependa kusafiri maana ndo viehela vinapopatikana hapo
alafu safiri kama hizi watu wa kada za chini wanazipenda sababu mishahara yenyewe ni midogo sana
 
Hivi wajameni yale mashindano ya SHIMIWI yanayotumia fedha nyingi kusafirisha timu toka wizara usika kwenda kushiriki michezo mikoa mingine yana faida gani? Naomba kujua maana naona kama ni njia fulani ya ufisadi na matumizi mabaya ya rasilimali za taifa ukizingatia zinadaiwa kuwa finyu. Ni kwanini basi rasilimali hizo zisielekezwe katika kutengeneza ajira kwa vijana kwa kuwaaandaa wale wa mashuleni na mitaani wakiwa wadogo na kutoa fursa ya uwezekano wa kupata ajira hapo baadae ukizingatia kimichezo tupo nyuma sana! kwanini rasilimali hizo zisitumike kutengeneza kambi ya wanariadha au mchezo wa soka au basketiball au hata hata netball?

Hivi Pinda anafikiri haya kweli au ndo ile dhana ya kuwa unakula kwa urefu wa kamba yako yaani yule aliyekaribu na hazina hukarimiwa zaidi? Kwangu mimi binafsi sioni faida ya kumkirimu wazee wetu katika wizara wakati wanaweza kufanya michezo bila ya kuingia katika matumizi mabaya ya fedha zinazosemekana ni kidogo na bila ya kuwa na matarajio yeyote kutokana na michezo hiyo yaani kama kutengeneza ajira.
acha wivu wewe nani alikutuma usiwe mtumishi wa umma ,acha wenzio wale usilete habari zako za m4c kwenye utumishi wa umma
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom