Zakumi
JF-Expert Member
- Sep 24, 2008
- 5,063
- 2,471
Ndio maana yake mkuu, na kila kitu kinaanza akilini/mawazoni, kwenye fikra na tafakuri. It takes a spark of imagination! Au ndivyo tulivyo? Laiti ange-transform hii fantasy energy into innovative energy, leo Obama angekuwa anampa joint freedom honor pamoja na Mwanafizikia Stephen Hawkins hapa: http://www.buenosairesherald.com/BreakingNews/View/8946
Commandante:
Kweli nilivuka mipaka. Lakini hii sio abstract ni kitu real. Unamuona mtoto wa miaka 7 anashinda umiss wa wilaya. Anapiga pose la nguvu na analembua kwenye picha vilevile.