Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,797
Subiri baadae ntaku-call
may be umefanya ndivyo sivyo.
Mbona shwari tu?
Poa nitakutafuta.
Subiri baadae ntaku-call
may be umefanya ndivyo sivyo.
Mbona shwari tu?
Wewe wasema...
Nilipe nachokudai ushinde,vinginevyo nishafikisha Ids saba sasa hivi bado tatu,
ukiongezea na zile nyingine nne nilizonazo Arabela lazima ashinde
Hivi mwisho wa kupiga kura ni lini Ruhazwe JR
kwa sasa tunapendekeza majina,badae tutawakusanya washirik ktk makunda mawili,ampapo utatakiwa kuchagua mtu mmo toka kila kundi,baada ya hapo tutatafuta kwa kupiga kura kumpata mmoja ambaye ndio itakuwa miss wetu.hivyo mchucho wa magroup ni nusu fainali na mchucho wa wawili ni fainal,hvyo chakato bado mpaka trh 30
kwa sasa tunapendekeza majina,badae tutawakusanya washirik ktk makunda mawili,ampapo utatakiwa kuchagua mtu mmo toka kila kundi,baada ya hapo tutatafuta kwa kupiga kura kumpata mmoja ambaye ndio itakuwa miss wetu.hivyo mchucho wa magroup ni nusu fainali na mchucho wa wawili ni fainal,hvyo chakato bado mpaka trh 30
ha,ha,ha,ha.... Kunani pale kwa Arabela ?funguka mkuu nianze kuagizia suti ya kulia ubwabwa
Mkuu si unajua binti ni mpweke muda huu,ndio najitahidi kuonyesha kuwa ninajali...
najijua mbona....ila wacha safari hii achukue madame B