Masheikh wakutana kutoa hoja kuhusu muungano! Wanaukataa!

Wakubwa siamini kama Wazanzibari wote hawautaki muungano na wala si kweli kama watanganyika wote wanauependa muungano isipokuwa wako kimya tu.Ni vizuri kujadialiana.Kuna watu ambao ndani ya nafsi zao wanaamini zanzibar immemezwa kwenye muungano na inashindwa kufanya maamuzi yake ya kisera kama kuwa karibu na marafiki inaodhani wanaweza kuwasaidia.Vile vile Tanzania bara tumekuwa wagumu kuelewa kwamba Zanzibar ni taifa la kiislamu kwa hiyo liachie huru kudumisha utamaduni wake na kujiunga na jumuia za kiislamu.Kuwawekea kauzibe katika masuala ya dini yao ndio kumeleta choko choko zote hizi.

Tujadilianeni kwa uwazi na kuheshimu ustaarabu wa kila upande.

Huamini vipi bila kura ya maoni???!!!
 
Nafikiri itakuwa ni busara kupitisha kura ya maoni kuhusu muungano.
Hakuna sababu ya kuwa na muungano huku mshirika mwingine akiwa haonekani......Tanganyika uko wapi?

Muundo utakaondoa kero miaka 2000 ijayo ni mmoja kati ya huu:
Tanganyika iwe na Serikali yake kama vile Zanzibar halafu kuwe na serikali ya Muungano itwaayo Tanzania
Kila upande utoe pesa kwaajili ya budget...
Au Tuwe na serikali moja tu yaani serikali ya Muungano, Tanzania
 
wanaopinga muungano ni waislamu wachache tu wenye upaguzi kwani wanaujumbe wao wanasema MUUNGANO LAANA TULILAH,samahani nimeandika wanavyotamka coz sijui kiarabu na sihitaji kujua kwani ni lugha isiyokua na manufaa yoyote,sasa na uliza ina maana huko bara hakuna waislamu?hawa waislam wapaguzi na hawapendani ndo maana wanaona kuwapamoja na waislam wenzeo ni laana
 
Mashehe kama raia wengine wote wana haki ya kutoa mawazo yao sema kinachogomba ni kule kuelemea upande mmoja. Muungano kwa taifa letu si tatizo kama ufisadi. Wangejadili ufisadi na siasa za kibabaishaji kwanza ningewaelewa.

huyu mafilili wala usipoteze muda wako kumuelimisha thinking capacity yake ime knock so ni sawa na kupiga mziki mzuri sana ndani ya banda la nguruwe ukitazamia nguruwe na watoto wake wafurahie mziki halafu wacheze!!
 
udini udini udini
ubaguzi ubaguzi ubaguzi
myopia myopia myopia


ningependa sana tujitenge na wadini zanzibar, kwani kwao kusema takbiiiirr ni sawa, ila sisi tukiseme tumsifu yesu kristu tunachomwa moto

sipenid muungano, hauna faida kwetu ila utasaidia pia sisi wafanya biashara kufanya biashara kwa heshima

tuvunje muungano,
 
Marehemu Mwakanjuki na Jaji Mstaafu Augustino Ramadhani ni wakristo wazanzibar
 
Watanganyika hatutaki Muungano.
Hauna tija kwa Mtanganyika, hauna maana kwa Mtanganyika, Hautunyimi usingizi.
Waende zao, wakaungane na iran.
 
Watanganyika hatutaki Muungano.
Hauna tija kwa Mtanganyika, hauna maana kwa Mtanganyika, Hautunyimi usingizi.
Waende zao, wakaungane na iran.

Mtanganyika uko wapi , Butiama kaburini kwa Nyerere??
 
Ukimya wa Watanganyika walio wengi juu ya Muungano haimainishi kwamba wanautaka Muungano, hata kidogo hawautaki.
Lakini wanajua wakianza wao kuwafukuzeni mtoke Tanganyika, dunia nzima itasema "Watanganyika wanawabagua wa znz".

Huhitaji akili ya std II kuelewa hili. Tupo kimya kwasababu za msingi sana.
Na hao wa znz wanapaswa kujua kwamba ni rahisi sana kwa Mtanganyika kuuuvunja Muungano kuliko wao wanavyodhani.

Tuna issuevkubwa na za msingi zinazotukabili hapa Tanganyika, muungano hauna priority yeyote ile kwa Mtanganyika, hatuna muda nao, hatuufikirii hata kidogo. Matatizo yanayowakabili(eg. ufisadi, elimu, huduma za afya, n.k) Watanganyika ni muhimu mara milioni kuliko huko muungano.

Itakapopigwa kura ya maoni ndipo mtakapofunguka na kujua yaliyojificha.

Funguka.
 
Watanganyika hatutaki Muungano.
Hauna tija kwa Mtanganyika, hauna maana kwa Mtanganyika, Hautunyimi usingizi.
Waende zao, wakaungane na iran.
Kama Muungano haukunyimi usingizi kwa nini hauutaki?
 
Kila Mara Mnazungumzia Wazanzibari hawataki huo Muungano; Mbona hamsemi kuhusu Wapemba?

Ni lini hata wa Bara wameruhusiwa kuujadili huo Muungano? Sio Upande Mmoja Wabara Wengi pia hawaupendi Muungano

Ni Uongozi wa CCM ndio unaoutaka huo Muungano...

hakuna nchi inayoitwa pemba mkuu kuna zanzibar na muungano ulikuwa wa tanganyika na zanzibar
 
Marehemu Mwakanjuki na Jaji Mstaafu Augustino Ramadhani ni wakristo wazanzibar

ni kweli Wakristo wa Zanzibar ndio wasomi wa Kwanza Afrika, walikuwa pamoja na Waingereza waliokuwa wanamlinda Sultani asinyang'anywe kisiwa na Wajerumani au wale Wakristo wa Ureno aliowachoma Sultani alipovamia kisiwa kwa njaa zake to jangwani Oman, Ngome Kongwe haikujengwa na Waarabu kama wanavyotaka iaminike, pale walijenga Masista wa Katoliki toka ureno kabla wakimbizi wenye njaa toka Oman hawajahamia, ila ukweli huu marfuku zanzibar.
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom