Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Kwani serikali ya umoja Zanzibar imeuepuka vipi huo mfumo kristo ulioko Tanganyika!MM,
Masheikh wa Tanganyika wapambane na mfumo kristo unaongozwa na kanisa katoliki kuendelea kuwakandamiza waislamu na fitna zinazozunguka. Masheikh za zanzibar wanatosha kuwatoa jasho nyie wafuasi wa kanisa katika suala la muungano hawahitaji masheikh wa kutoka Bara.