hamic mussa
JF-Expert Member
- May 1, 2012
- 227
- 19
umeenda kwa mganga ili akusaidie kumpata demu unayempenda kisha anakupa masharti haya
''leta kucha za huyo binti alizokata kwa meno,nywele zake za kwapa na harufu yake. Nenda ukalete sabuni yake ambayo tayari ameogea kisha lete blauz anayovaa pindi anapozima taa na nyayo za miguu za marehemu babu yake. Na ucsahau kuleta jino lake lilong'oka lenyewe wakati akiwa mtoto. Ukikamililisha hayo ntakusaidia kumpata'
JE INGEKUWA WEWE UNGEWEZA?
''leta kucha za huyo binti alizokata kwa meno,nywele zake za kwapa na harufu yake. Nenda ukalete sabuni yake ambayo tayari ameogea kisha lete blauz anayovaa pindi anapozima taa na nyayo za miguu za marehemu babu yake. Na ucsahau kuleta jino lake lilong'oka lenyewe wakati akiwa mtoto. Ukikamililisha hayo ntakusaidia kumpata'
JE INGEKUWA WEWE UNGEWEZA?