masharobaro wafa.........

2my

JF-Expert Member
Jan 30, 2010
287
7
Masharobaro wote walikufa "Gongo la mboto"kutokana na majibu yao_Ona ilivyokuwa:-

Lala chini bom hilo! "ntachafuka men"

Tamko!hali ya hatari panda lory! "nasubir tax men"

Zima simu kuepuka mionzi ya mabom! "naongea na baby men"

Hayo ndo majibu tuliyoambulia katika purukushani za kuokoa.........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom