Masharobaro/ Wabana pua waalikwa Marekani na USHER RAYMOND

Yericko Nyerere

JF-Expert Member
Dec 22, 2010
16,985
20,263
Habari zilizonidondokea mida hii zinasema, WASITI, LINAH, AMINI, BARNABA, DITTO & B12 kwenda marekani kesho kwa mwaliko toka kwa mwimbaji USHER RAYMOND.Source Mimi mwenyewe!!
 
Habari zilizonidondokea mida hii zinasema, WASITI, LINAH, AMINI, BARNABA, DITTO & B12 kwenda marekani kesho kwa mwaliko toka kwa mwimbaji USHER RAYMOND.Source Mimi mwenyewe!!
Asante sana Mkuu hiyo source haina shaka, naona B12 ataosha nyota maana yeye anapenda sana kujifanya Mmarekani sipati picha akirudi.
 
sipati picha men!itakuwaje men!bonge la shavu men!full kuosha nyota men!haina kwere men!mzeiyaaa!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom