Yericko Nyerere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2010
- 16,985
- 20,263
Habari zilizonidondokea mida hii zinasema, WASITI, LINAH, AMINI, BARNABA, DITTO & B12 kwenda marekani kesho kwa mwaliko toka kwa mwimbaji USHER RAYMOND.Source Mimi mwenyewe!!
Asante sana Mkuu hiyo source haina shaka, naona B12 ataosha nyota maana yeye anapenda sana kujifanya Mmarekani sipati picha akirudi.Habari zilizonidondokea mida hii zinasema, WASITI, LINAH, AMINI, BARNABA, DITTO & B12 kwenda marekani kesho kwa mwaliko toka kwa mwimbaji USHER RAYMOND.Source Mimi mwenyewe!!
Tehee!tehee! Dah hiki ndo kizazi cha mkweree! Rais sharobaro wananchi sharouharo kaaazi kwelikweli!!sipati picha men!itakuwaje men!bonge la shavu men!full kuosha nyota men!haina kwere men!mzeiyaaa!