Naomba nitoe elimu kidogo kwa watu maana unaweza kuanzisha thread hata hujui tofauti ya magari. Kuna tofauti kubwa sana kati ya toyota VX ya kawaida na VX V8. Kwa yule asiyejua magari kabisa VX V8 unaweza kuitambua kwa kuangalia taa zake zimetoka kwa nje kidogo. Hayo ni new model ya VX ambayo yameanza kutengenezwa around 2009 ambayo serikali inanunua mapya kabisa gharama yake ndio haipungui millioni 200 za kitanzania ingawa yapo used from Japan. hayo unayoayaona ambayo si chadema tu wanayo hata wafanyabiashara na wafanyakazi wengi wanayo ni old model chini ya 2004 ambayo mengi yanapatikana kama mitumba na ukitazama kwenye webstie nyingi i.e. www.tradecarview.com utaona bei zake ni ndogo sana hayazidi $ 30,000. nimeattach picha na gharama zake kwa msaada zaidi
Hizi ndo VX za kawaida
[h=5]Toyota Land Cruiser[/h]4,700 cc VX-LTD
GH-UZJ100W, Automatic
Hearte International Japan Co., Lt ...(0)
JAPAN
ID:531973-ATS0001-151896018103040897
2002
62,000 km
Right
US$24,752
¥1,974,000
VX V8
[h=5]Toyota Land Cruiser[/h]4,600 cc CBA-URJ202W, Automatic
Murakami International Japan
JAPAN
ID:1189750-111106072609
2011
5,000 km
Right
US$119,122
¥9,500,000
ngongo habari yako bana?hivi unajua tofauti ya hizo gari unazoongelea?
chadema hakuna v8 hata moja,kumbe arusha kuna wanafiki?mi nilifikiri ni mji wa wajanja tu.
MBOWE anatumia gari la kiongozi wa upinzani bungeni (KU) aina ya Land cruser V8 alilotangaza kurudisha bungeni na kweli alirudisha lakini kalichukua kimya kimya bila kutuambia ameamua kulichukua......siasa bana.
Dk. Slaa anadaiwa kulipwa mshahara zadi ya milioni 7 kwa mwezi ambao unazidi mshahara wa mbunge.
Tukipata maelezo yao dhidi ya tuhuma hizi itapendeza.
Kuna kamsemo kanasema hivi:" Baba yako akiwa mlevi -chapombe wa kutupwa, halafu vijana wenzio wakakuambia chademamember dah mshua wako jana alikuwa chicha -mtung,i bwakisi, mbwaa anajisaidia barabarani" Utakuwa mkali( mbogo cha mtoto), hata ngumi unaweza kuwadunda wenzio labda wakuzidi ubavu.TAFAKARI. HAKUNA MTU ALIYE TAYARI KUAMBIWA MABAYA KUHUSU MZAZI WAKE.kwanzia lini umekua msemaji wa chadema? Kama sio msemaji wa chadema leta source hapa umbea hatutaki.
Nazungumzia "consistency" ya chama kwenye mambo wanayoyapigania wakati wa Kampeni. Kusema akili yangu mbovu hakuondoi ukweli kwamba hata hayo mashangingi ya CHADEMA yananunuliwa na kwa kodi za wananchi. Wewe hujui kuna baadhi ya wabunge kabla ya kuwa wabunge hata Baiskeli walikuwa hawana uwezo wa kununua.
Unajisahaulisha kwamba wabunge wote walipewa mkopo wa shilingi Milioni 90 na ofisi ya Bunge kwa ajili ya kununulia magari yao?
Hizo bei zako ni za wapi? Tupe jina la kampuni waliponunua hayo magari kwa hizo bei mkuu.
Mbunge wangu wa CHADEMA alikua anatembelea Nissan Terrano. mwezi mmoja baada ya kuapishwa kavuta VX. Nadhani wangeanza kutuonyesha wao kwa vitendo ili tuweze kuwaamini wanayoyasema pindi watakapochukua nchi. kama wao tu ndani ya chama wameanza kuonyesha matabaka hali kadhalika wakichukua nchi itakua hivyo hivyo. wenyeviti wa matawi hawana hata baiskeli ye kufanyia shughuli za chama wao wameongeza matumizi kwa kujinunulia magari ya gharama. hii ndio siasa ya Bongo
nyinyi mashabiki wa vyama ingekua amri yangu mnastahili KUNYONGWA eti cdm kila wanachofanya wako sahihi,watu wanakufa njaa watu wanapeana mikopo ya 90 m za magari,hizo ni kodi zetu.mshahara wa slaa na magari ya chama yanatokana na ruzuku ambao ni kodi yetu.hivyo mtoa mada na sisi tuna haki ya kuhoji.acheni ushabiki wenu na kuwa ushabiki huu mtafanya cdm iwe kama ccm maana ata wakikosa hakuna wa kusema.tuwaseme ili wabaki ktk misingi sahihi
MBOWE anatumia gari la kiongozi wa upinzani bungeni (KU) aina ya Land cruser V8 alilotangaza kurudisha bungeni na kweli alirudisha lakini kalichukua kimya kimya bila kutuambia ameamua kulichukua......siasa bana.
Dk. Slaa anadaiwa kulipwa mshahara zadi ya milioni 7 kwa mwezi ambao unazidi mshahara wa mbunge.
Tukipata maelezo yao dhidi ya tuhuma hizi itapendeza.
Hoja ni Mashangingi ya CDMA au yaliyonunuliwa na CCM kisha kutumika kwa Mbowe na Mshahara wa Slaa nalo ni Shangingi?MBOWE anatumia gari la kiongozi wa upinzani bungeni (KU) aina ya Land cruser V8 alilotangaza kurudisha bungeni na kweli alirudisha lakini kalichukua kimya kimya bila kutuambia ameamua kulichukua......siasa bana.
Dk. Slaa anadaiwa kulipwa mshahara zadi ya milioni 7 kwa mwezi ambao unazidi mshahara wa mbunge.
Tukipata maelezo yao dhidi ya tuhuma hizi itapendeza.