nazungumzia "consistency" ya chama kwenye mambo wanayoyapigania wakati wa kampeni. Kusema akili yangu mbovu hakuondoi ukweli kwamba hata hayo mashangingi ya chadema yananunuliwa na kwa kodi za wananchi. Wewe hujui kuna baadhi ya wabunge kabla ya kuwa wabunge hata baiskeli walikuwa hawana uwezo wa kununua.
Unajisahaulisha kwamba wabunge wote walipewa mkopo wa shilingi milioni 90 na ofisi ya bunge kwa ajili ya kununulia magari yao?
vipi huo mkopo wa milioni 90 analipa nani serikali au mbunge? Kama ni mbunge then ni pesa zake binafsi lakini kama ni serikali ndo inalipa huo mkopo then kodi zetu zinafanya kazi. Tofautisha hivi vitu viwili vitakusaidia wewe na wanao kufanya jug.