Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,256
Mkuu hilo gari ni STK*****, na kuangusha gari ya thamani ya Tshs millioni 300, mali ya umma, ukisema si jambo jipya mimi nitasema hiyo ni complacency at its worst.hiyo gari ni yani?, mbona jujaweka namba za gari? magari mangapi yanaanguka huko highway kila siku? hakuna jipya!
Nadhani "Uendeshaji mbaya" ingekaa vema zaidi kuliko "matumizi mabaya".
Nikifikiri uendeshaji mbaya ni sub set ya matumizi mabaya
Ni sawa - lakini hakuna ubaya kuwa specific mkuu masopakyindi.
Unahakika ni korosho na kahawa zenu, sio za misaada hizo gari?
Unahakika ni korosho na kahawa zenu, sio za misaada hizo gari?
Unahakika ni korosho na kahawa zenu, sio za misaada hizo gari?
Unahakika ni korosho na kahawa zenu, sio za misaada hizo gari?
Mkuu hilo gari ni STK*****, na kuangusha gari ya thamani ya Tshs millioni 300, mali ya umma, ukisema si jambo jipya mimi nitasema hiyo ni complacency at its worst.
http://picture1.goo-net.com/7000302062/20120303/J/70003020622012030300100.jpgHuo ni uongo Landcruiser GX V8 hata ya mwaka 2012 haijafika TZS million 300, uliipata wapi hiyo bei? Hata million 200 haijafika.
Huoni ajabu chadema kuuziwa na mwenyekiti wao fuso mtumba kwa TZS million 350?