FredKavishe
JF-Expert Member
- Dec 4, 2010
- 1,090
- 318
Wakuu mashamba mazuri yako surveyed hatua 20 kwa 25 milion 3.5 tsh
Habari yako ni nzuri sana lakini hujaweka kama upo serious hebu niambie mimi nikiwa nahitaji nifanye nini? hujaweka hata mawasilianoWakuu mashamba mazuri yako surveyed hatua 20 kwa 25 milion 3.5 tsh
Habari yako ni nzuri sana lakini hujaweka kama upo serious hebu niambie mimi nikiwa nahitaji nifanye nini? hujaweka hata mawasiliano
Mbezi ya kimara?
Njia ya kuelekea mbezi beach?
Fafanua mkuu?
weka mawasiliano!!
We siyo dalali kweli??
Mkuu with all due respect,Wakuu mashamba mazuri yako surveyed hatua 20 kwa 25 milion 3.5 tsh
Mkuu with all due respect,
shamba?
Mita 20 kwa 25?
Where is our sense of farming.:confused2:
Doesn't look like a shamba to me, a plot probably
nimesema miguu 25 kwa 20'
Sasa hatua moja si ni ndogo kuliko mita moja? So hoja ya mjumbe kwamba sio 'shamba' (kilimo) bali ni 'kiwanja' (ujenzi) ipo valid!
nimesema miguu 25 kwa 20'
unanipa wasi wasi kuamini kama pamepimwa hapo. Hesabu za vipimo ni miguu sio mita au mnafanya subdivision ya shamba kwa watu wengi.?
Wakuu mashamba mazuri yako surveyed hatua 20 kwa 25 milion 3.5 tsh