Mashamba yanayofaa kwa kilimo cha mazao mbalimbali kama ufuta, alizeti, mahindi, mtama, uele na viazi vitamu yanapatikana Kiwangwa. Bei ni TZS250,000/= kwa ekari. Unaweza kupata kiasi chochote unachohitaji. Pia unaweza ukapata mashamba yanayofaa kwa kilimo cha nanasi ingawa hayo bei inakuwa juu zaidi. Interested? nipm nikuelekeze