Ngandema Bwila
JF-Expert Member
- Sep 8, 2010
- 1,017
- 256
Inasikitisha kuona mtu kama Mh. Cheyo na Msomi Bagenda wanasimama na kuanza kuhutubia umati wa wasomi bila kuhusianisisha na maada iliyo kuwa inaongelewa. Wakati wenzao wanachambua Mwasada wa katiba kipengele kwa kipengele wenyewe wanaleta propaganda zilianza kutukifu wananchi za amani na utlivu. Nawapongeza vijana wa Mlimani kwa kukataa muda wao kuchezewa na hawa wazee wanaodhani vyeo na ulaji ndo mwisho wa kila kitu.