Mashabiki wamkejeli maximo uwanjani!

Swahilian

JF-Expert Member
Apr 28, 2009
591
66
Katika hali inayoonesha kukerwa na mfumo mzima wa uendeshaji wa timu ya taifa na maandalizi ya timu ya taifa kwa ajili ya mechi dhidi ya new zealand, ilikuwa ni tafrani katika uwanja wa karume kutokana na baadhi ya mashabiki kumlaumu kocha huyo kuwaacha a.iddy na h. Moshi ktk timu hiyo, wakiwa na jazba huku wakiimba 'chuji' au 'boban' kila mchezaji alipogusa au kukosea mpira, hali hii ilimfanya maximo kufura kwa hasira huku akiwatuliza mashabiki
 
Hali kadhalika walionesha kutoridhishwa na viwango vya wachezaji mbadala ambao walionekana kutojiamini au kuwa na uwezo mdogo sana, hata wengine wakathubutu kusema kuwa ni vigumu kwa timu hiyo kushinda mechi hiyo ya kirafiki, na inasemekana Maximo na timu nzima wameanza kuona uwanja huo mchungu ktokana na kuzomewa, na kuanzia sasa wamekuwa wakijishauri kufanya mazoezi uwanjani hapo, kwa maoni ya walio wengi wanaona muda wake umekwisha hakuna jipy
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom