Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,759
- 71,139
Umetaja beer baridi umenifanya nami nichukie maana pale Grocery ya mama Kijogoo siwezi kuzikuta maana hana generator na mabia yooote ya moto. ahhh!Hili giza linanifanya niwe na hasira sana! Kumbuka hata beer baridi tunaweka kwenye ndoo za maji